Kabisa aisee. Mwandishi anasema bila ile ulaya ingeendelea kuwa maskini na jinga.The Bubonic Plague. Baada ya hii tauni kutokea jamii ya watu wa Ulaya ilibadilika sana, mara nyingine ni lazima majanga yatokee ili nchi itie akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
The Bubonic Plague ya mwaka 1656 ilikuwa ni mwanzo tu. Mwaka uliofuatia 1666 kulikuwa na The Great Fire of London ambao ulinguza nusu ya mji wa London na ulishindwa kuzimwa kabisa. Maelfu ya watu walikosa makazi ya kuishi.Kabisa aisee. Mwandishi anasema bila ile ulaya ingeendelea kuwa maskini na jinga.
Anasema kwa namna fulani ilichangia watu kutoamini sana kanisa maama lilishinda kuwalinda na hivyo kuchangia kuanzishwa kwa hizi ishu za waprotestant na ile imani kuwa kanisa lina ukweli wote ikaanza kuondoka. Kanisa zamani lilikuwa linakataza kufanyika kwa autopsy lakini hii ikafanya ianze kufanyika na kuleta mapinduzi kwenye elimu ya afya.
Pia mambo ya ukabaila yakaanza kukoma na hili ndilo lilikuwa badiliko kubwa sana.
Saizi nimeanza kuwaelewa wale mavillain ambao misheni zao ni kupunguza watu duniani [emoji16][emoji16]
Please share your thoughts. What do you think ?Je Africa au Tz in particular inahitaji this kind of purge?
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Rwanda ipo tofauti sana na Burundi japo zinafanana sana kuanzia ukubwa wa watu wake. Nchi zote zina wahutu kama 80%. Je yale mauaji ya kimbari yatakuwa yalichangia Rwanda kuwa ilivyo leo?Je Africa au Tz in particular inahitaji this kind of purge?
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Bahati hakuna mtu anayeweza omba majanga, lakini ukweli mmoja jamii yoyote ile iliyopitia misukosuko kama manyanyaso, vita, mauaji, magonjwa, n.k huchukua hatua kubwa na za makusudi ambazo huijenga upya jamii hiyo.Rwanda ipo tofauti sana na Burundi japo zinafanana sana kuanzia ukubwa wa watu wake. Nchi zote zina wahutu kama 80%. Je yale mauaji ya kimbari yatakuwa yalichangia Rwanda kuwa ilivyo leo?