CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Nafikiri wengi wenu mnajua mfalme Constantine na kanisa Katoliki hawakuweka almost vitabu 14 wakati wana assemble Biblia, hii imetunyima mengi kujua kuhusu kwa mfano the book of Enoch, the book of Og lile jitu refu kabisa.
Cha kusikitisha ni kwamba wakati sisi hizo knowledge hatuna wao kwenye library ya Vatican wanazo zile original copies kabisa, inakera sana, sasa na share na wewe PDF ya hiki kitabu cha mwaka 1926 na ni collection ya tafsiri za vitabu hivyo*the lost ones) zilizofanywa kwa Kiingereza katika karne za 17 na 18.
Cha kusikitisha ni kwamba wakati sisi hizo knowledge hatuna wao kwenye library ya Vatican wanazo zile original copies kabisa, inakera sana, sasa na share na wewe PDF ya hiki kitabu cha mwaka 1926 na ni collection ya tafsiri za vitabu hivyo*the lost ones) zilizofanywa kwa Kiingereza katika karne za 17 na 18.