Kitabu: Yajue majini

YEye muinjilist amezaliwa ktk familia ya kiislam
Huyu nae kaona aje na njia yake baada ya kushindwa kujitanganza kuwa mtume sijui nabii .
Kaona aje na gia ya uislam ili apate hela hawa ndo wanafaa kupiga PANGA tena hadhara..

Eti Ya Tairu ndio Allah ...Tairu hajui hata maana ake ..kwenda ujinini mpaka uende kwenye makutano ya wapi na wapi uongo gani huu kama hajui elimu ya majini si aombe afunzwe tu..
 
Weka ukweli shehe, hakuna majini maislamu?
 
ongezea alipokosea sasa unaonekana kuna kitu unakijua
 
ongezea alipokosea sasa unaonekana kuna kitu unakijua
Nitakuja na hiyo mada
Japo makundi ya majini sio 99
Isipokuwa tu kundi lenye idadi kamili ya majini ni kundi moja tu lenye majini 72 ambao walikuwaga wakorofi enzi king solomon akiwatawala nao wanajulikana waliosalia hawana idadi maalum ni wengi mno..
 

Attachments

  • The-Key-of-Solomon-the-King.jpg
    15.6 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…