Kenya 2022 Kitakachotokea baada ya Rais Mteule wa Kenya kutangazwa leo

Kenya 2022 General Election

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1. Mwenyekiti wa Tume wa Huru ya Uchaguzi, IEBC anatakiwa kumkabidhi Rais Mteule Cheti (Mshindi wa Urais lazima ajitokeze kupokea Cheti)

2. Mwenyekiti lazima awasilishe kwa maandishi taarifa ya Matokeo kwa Jaji Mkuu na Rais aliyepo Madarakani, (Uhuru Kenyatta)

3. Kama itatokea Pingamizi la matokeo, lazima liwasilishwe ndani ya siku 7 tangu kutangazwa kwa matokeo


4. Ikiwa hakuna Pingamizi lililowasilishwa Mahakama Kuu, Rais Mteule ataapishwa hadharani mbele ya Jaji Mkuu au Naibu Jaji Mkuu Jumanne ya kwanza, wiki mbili baada ya tarehe ya kutangazwa kwa matokeo ya Urais na IEBC

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…