Hali ya JK na CCM kisiasa kwa ujumla wake si nzuri na dalili zote zinaonyesha anguko kuu la CCM, silaha ya mwisho atakayotumia JK na CCM ni ya kuhahirisha Uchaguzi mpaka mwakani, miongoni mwa mbinu zilizopo ni hii ya JK Kujiangusha siku chache kabla ya uchaguzi na tutaelezwa hali yake si nzuri na atapelekwa nje ya nchi kutibiwa na uchaguzi utahahirishwa mpaka mwakani ili CCM wajipange vizuri kukabiliana na Slaa, nimedokezwa na kada wa CCM
Hizo ni tetesi, hisia zako, au?
DR. SLAA FOR LIFE!!
Inamaana na muda wa vyou kufunguliwa utasogezwa mbele zaidi......???
mkuu sio hisia zangu, nakwambia nimedokezwa na kada mmoja wa chama, na hilo (la kuanguka) ni mojawapo la mbinu nyingi walizopanga za kuahirisha uchaguzi, wanachosema wanataka uchaguzi ukihahirishwe ili wapate muda wa kurudisha kampeni zote kwenye chama na zisimamiwe na chama (ccm), kwa maana sasa inaonekana chama hakina nguvu (akijashiriki vizuri) kwenye kampeni hizi (ilikuwa ni jk pekeyake bila chama), nguvu itakayotumika ni kuhahirisha uchaguzi mpaka january na kisha muda wa kampeni utaongezwa ili ccm na jk wapate nguvu mpya