Kama ni Usultani lolote linawezekana lakini kama ni uraisi kwa misingi ya kidemokrasia kuhailisha uchanguzi halipo,ila ikitokea kwa misingi hiyo ya kununua muda ili wajipange vizuri kikampeini,hiyo ni hatari,na ni gharama kwa Watanzania.Lakini kwa Afrika yetu ya Mzee Mugabe na chaguzi za Zimbabwe hilo linawezekana kabisa.