Imekuwaje umekiruhusu mkuu!?!Kidubwasha cha kijinga Sana
Kinanitesa Sana!!
Kitambi hakiashirii kuridhikaUkiridhika na maisha tu! Haijalishi una umri gani!!
Ndo kina nani hao?Kitambi hakiashirii kuridhika
Bill gates?
Mo dewji?
Manji?
GSM?
Hao wote hawajaridhika?
Ubaya wa kuwa na biashara kubwa hata upate vipi pesa huwezi kuridhika fuatilia hilo, ukijaaliwa Milioni moja utatamani upate milioni tano zaidi, ukijaaliwa bilioni kumi utatamani upate bilioni ishirini na tano zaidi. Angalia sisi pangu pakavu ukipata 2000 tu tayari umeridhika na maisha yanaendelea!! Fatilia hilo!! [emoji1474]Kitambi hakiashirii kuridhika
Bill gates?
Mo dewji?
Manji?
GSM?
Hao wote hawajaridhika?
Kitambi ni ugonjwa wa unaoitwa utapiamulo. Yaani umeshindwa kubalance chakula ndio utapata kitambi hicho.Habari wakuu
Kwakwel mimi baharia wa nchi kavu ndugu bwana Fene hiki kitu kitambi sijawah kukielewa hat kidogo,
Swali
Je hiv kitambi haswa kinaanzaga katika umri gani? ili nijipange kukiepuka
Maoni yenu wakuu kwa pamoja tufahamu
View attachment 2078658
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakinaga formula au sio [emoji16][emoji16][emoji1787]Hakinaga mungozo...
Kwa upande wa mke jau mkuuKitambi ni heshima hasa unapoenda ukweni,
tena ukiwa na simu ya kupangusa...
Unachomoa simu ya kupangusa unapangusa kwenye kitambi.
Sasa kama huna kitambi utapangusia wapi?
Duh! Kumbe bora tusiridhike na maishaUkiridhika na maisha tu! Haijalishi una umri gani!!
Hao wangekuwa na vitambi hadi vina bebwa na toroli, Ila njaa kali eti na yeye ana ndambi ya njaa hahahahaaaaKitambi hakiashirii kuridhika
Bill gates?
Mo dewji?
Manji?
GSM?
Hao wote hawajaridhika?
Upo sahihi mkuuKuna vitambi vya kiporo cja wali maharagwe hichi huwa kinakuja huku ukiwq na hali ngumu.