Kitambi kinaninyemelea mwenzenu

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Nifanyeje jamani kukifukuza hiki kitambi kinachonijia kabla ya wakati, yaani nina miaka 30 tu nianze kusumbuka na kitambi wakati sijapata hata hela?
 
Daaa mkuu hapo sijui tufanyaje hapo me nadhan upige push up sana za kikubwa
 
Hakuna dawa nyingine zaidi ya mazoezi.

Nifanyeje jamani kukifukuza hiki kitambi kinachonijia kabla ya wakati, yaani nna miaka 30 tu Nianze kusumbuka na kitambi wakati sijapata hata hela?
 
Mkuu hata Mimi kimeanza na mazoez nafanyakivivu sana km upo kinondon tukutane tupeane kampan ya zoez maana yanatia uvivu
 
Nifanyeje jamani kukifukuza hiki kitambi kinachonijia kabla ya wakati, yaani nna miaka 30 tu Nianze kusumbuka na kitambi wakati sijapata hata hela?
Mkuu tupo wengi kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…