Kitambi kinaninyemelea mwenzenu

Mkuu hata Mimi kimeanza na mazoez nafanyakivivu sana km upo kinondon tukutane tupeane kampan ya zoez maana yanatia uvivu
Fanya Intermittent Fasting tu, kipe mwezi kinaondoka
 
Mkuu hata Mimi kimeanza na mazoez nafanyakivivu sana km upo kinondon tukutane tupeane kampan ya zoez maana yanatia uvivu
Kweli mazoezi yanatia uvivu, nilifanya sikumoja lile zoezi la kukata tumbo maumivu yake wiki nzima sijarudia tena
 
Nifanyeje jamani kukifukuza hiki kitambi kinachonijia kabla ya wakati, yaani nina miaka 30 tu nianze kusumbuka na kitambi wakati sijapata hata hela?
Kunywa sana MAJI yenye NDIMU,kisha uwe na madeni, au nunua GARI chakavu LA kushinda garage kila siku utakuwa flat huna haja ya diet
 
weka picha mkuu tukione ni chaaina gani ili wataalam wakushauli vizuri zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…