Kitambi ni ugonjwa wa akili

Nani alikufundisha kuwa unene ni matokeo ya kula sana pekee?
Ni nani aliyekufundisha kuwa, kufanya mazoezi hukufanya mtu lazima 'uslim'?
Siku nyingine unapoanzisha mada inayosomwa na watu wa kada mbalimbali, jiepushe sana na kauli za kijuaji na kukebehi watu.
 
Overfeeding hivi bado kuna kaimani kuwa kuwa na kitambi ni heshima na unaonekana mwenye fedha
 
Unajua watu wenye psychiatric mara nyingi hawajijui na wanaamini wapo sahihi ,dalili zake zinaanzaga taratibu na kwa mtindo kama huu wa kujenga fikra za hofu

Kuna kijana mmoja aliwachinja bata wote 23 wa nyumbani kwao na kuwatumbukiza choo, alipoulizwa kwa nini amefanya hivyo akajibu "nimewachinja na kuwatumbukiza chooni bata hao kwa sababu walikuwa wananiangalia kwa jicho la husda"

Kijana huyu hana tofauti na mleta mada maana wote wana fikra zenye hofu
 
Unasahau genetics wewe, usiandike tu ilimradi, kuna watu wana low insulin by genetics or chubby by genetics si swala la kula sana, acha wehu!
Lkn hata kama una genetics predisposition to obesity,if you do exercise you won't get obesity..its like DM2,even if una genetic factors Ila ukifanya mazoez unaiondoa na unapona kabisa
 
Ingawa umetumia lugha isiyo na nidhamu ila imeongea ukweli kwa sehemu kubwa,kwa kifupi kitambi n uzembe na ratiba mbovu ya kula..ndio maana vijijin kukuta MTU ana kitambi sio sana maana shughuli za kilimo zinasaidia kuchoma all unnecessary fats
 
Hata Mimi huwa nashindwa kumuelewa MTU mwenye KITAMBI?!

JITU linaachia achia MWILI kizembe.

Kupenda kula kula ovyo kama MCHWA.

Wewe Mtu wa aina gani kila wakati unakula tu, hulipi Tumbo nafasi ya kupumua.

Kila wakati Kitumbo NDIII.

Na watu wanaopenda kula kula ovyo ni wabishi sana, ukiwaambia MAZOEZI hawataki.

Tena wengine KITAMBI wanaona sifa.

Wanasahau ya kuwa KITAMBI ni Maradhi ya kujitakia
 
Hili jiwe limegusa jinsia zote
(Wanaume vitambi na wanawake vitambi )

Ngoja nisubirie sauti zitakapotokea
 
Siku hizi kuna vifutu vya vijana, unakuta vifupi kitambi hicho utadhani atajifungua, so sad!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…