MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,039
- 855
Habari wadau,
Kuna nafasi EWURA walitangaza mnamo tarehe 22 NOV mwaka jana, sasa imekuwa ni kitambo kidogo kimepita, kama kuna mdau anataarifa ya zile nafasi kama washaajiri au mchakato unaendelea. Nafasi hizo ni kama zinavyoonekana hapo chini
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Kuna nafasi EWURA walitangaza mnamo tarehe 22 NOV mwaka jana, sasa imekuwa ni kitambo kidogo kimepita, kama kuna mdau anataarifa ya zile nafasi kama washaajiri au mchakato unaendelea. Nafasi hizo ni kama zinavyoonekana hapo chini
- Post Title: Technical Manager Electricity One Post Duty Station: EWURA Head Office Dar es Salaam
- Post Title: Principal Technical Engineer One Post Duty Station: EWURA Head Office Dar es Salaam
- Post Title: Senior Engineer -Renewable Energy One Post Duty Station: EWURA Head Office Dar es Salaam
- Post Title: Petroleum Inspector 2 Posts Duty Station: EWURA Head Office Dar es Salaam
- Post Title: Commercial Officer - Petroleum 1 Post Duty Station: EWURA Head Office Dar es Salaam
- Post Title: Receptionist Duty Station: EWURA Head Office Dar es Salaam
Natanguliza shukrani zangu za dhati