Kitambulisho cha Faraja Nchimbi wa Ustawi wa Jamii kimeokotwa

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
Kitambulisho kim eokotwa maeneo ya Kijitonyama.

Kitambulisho bada ya kukiokota tumekikabidhi kwa Eliya, Fundi viatu yupo geti dogo

 
Kemsha expire hicho
Vitambulisho vya chuo vinasajiliwa kila mwaka. Huyo ni first year kinaisha matumizi mwisho wa mwaka wa masomo huu ili mwaka unaoanza alipe na ndio atafanya mitihani
 
picha muruwaa wa kitambulisho ... cute lady - piga skuliii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…