Kitambulisho Cha taifa kikipotea

Kitambulisho Cha taifa kikipotea

Cassnzoba

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2022
Posts
3,661
Reaction score
6,913
Habari wakuu

Naomba kuuliza kama kitambulisho Cha taifa kimepotea,Kuna utaratibu Gani wa kukipata upya??

Sina mengi ya kusema, nawasilisha mada. Wenu mtiifu katika jamiiforum

Cassnzoba
 
Habari wakuu

Naomba kuuliza kama kitambulisho Cha taifa kimepotea,Kuna utaratibu Gani wa kukipata upya??

Sina mengi ya kusema, nawasilisha mada. Wenu mtiifu katika jamiiforum

Cassnzoba
Hatua ya kwanza nenda polisi kapate loss report
Hatua ya pili nenda NIDA
 
Aisee kwa usumbufu wa namna ya kupata kitambulisho cha nida..nakitunza sana kisipotee mm ni mtu wa kusafiri safari sana.
Inanibidi ni tembee na soft copy ya kitambulisho kwenye simu.
Kama sina simu kubwa ntatembea na hardcopy yake ,na kama sina simu au hazina chaji imenifanya nikariri Nida namba.
 
Aisee kwa usumbufu wa namna ya kupata kitambulisho cha nida..nakitunza sana kisipotee mm ni mtu wa kusafiri safari sana.
Inanibidi ni tembee na soft copy ya kitambulisho kwenye simu.
Kama sina simu kubwa ntatembea na hardcopy yake ,na kama sina simu au hazina chaji imenifanya nikariri Nida namba.
Hapo umefanya jambo la maana
 
anzia polisi kwa ajili ya loss ripoti utamalizia nida pia uwe na 20,000/= ya kulipia kabisa baada ya kupewa control number halafu usubiri miezi 3 kupatiwa kitambulisho kipya.
 
Back
Top Bottom