Kitambulisho cha Taifa kinafutika. Suluhisho ni nini?

Kitambulisho cha Taifa kinafutika. Suluhisho ni nini?

1) Waone/wasiliana na NIDA

2) Daima kumbuka namba Yako ya kwenye hicho kitambulisho.
 
Nilipokipata nikakiweka kwenye pochi nitembee nacho, kuja kukitoa herufi mbili za jina langu hazipo. Niemekitunza tu natembea na cha mpiga kura.

Sikulalamika kwa sababu kwa mara ya kwanza serikali yangu ya mtaa kupitia mjumbe waliniletea nyumbani, wakati nilijiandikishia mbali kabisa. Hicho kitendo kikanifanya nilalamike kimoyomoyo ila wawe siriasi. Hicho ni kitu cha kitaifa jamani
 
Nadhani kuna watu watakubaliana na mimi kuwa vitambulisho vya taifa vya sasa vinafutika. Naomba kujua sululisho!
Imenifikirisha sana inakuwaje NIDA inafutika. Ubora wa kitambulisho upo chini ya kiwango au? Wahusika wajitokeze watoe maelezo. Kuna mtu imebidi atengeneze copy stationary baada ya kitambulisho (NIDA) chake kufutika.
 
  • Thanks
Reactions: al1
Hii nchi Ajabu sana
Watu wamesubiria Vitambulisho Miaka 5 Vinatoka Vimeo
Vikitoka vilivyo bora wataibaje kwa mfano!! Hii nchi muda mwingine ni aibu kuwa mtumishi wa baadhi ya ofisi. Ukiwakuta maofisini,matumbo makubwa,wamechomekea mkanda nje,moka ya maana kama watu vile.
 
Back
Top Bottom