INAUZWA Kitanda 5×6 kinauzwa

We nae utadhani sio binadamu si chuma hiyo au macho yangu hayaoni vizuri Kama ni chuma na una wasiwasi na ufanisi wake WEWE utakuwa sio binadamu
We nae utadhani siyo binadamu pia, kwani kila chuma ni imara? Material za chuma zinafanana ufanisi wake? Unajua mimi nna mikiki gani hadi niulize? Why usinielekeze tu hadi unihisi siyo binadamu? Mimi ni mchwa siyo binadamu furahi sasa.
 
We nae utadhani siyo binadamu pia, kwani kila chuma ni imara? Material za chuma zinafanana ufanisi wake? Unajua mimi nna mikiki gani hadi niulize? Why usinielekeze tu hadi unihisi siyo binadamu? Mimi ni mchwa siyo binadamu furahi sasa.
Chuma ni chuma hakuna chuma fake
Ila mbao Kuna mninga mbao ngumu alafu kuna mbao ya kawaida alafu Kuna mbao laini (softwood) hii haipatani na maji, siijui mikiki yako hata hivyo nakupongeza kwa kuwa na mikiki mikiki ya kushindana na chuma....!!!
 
Chuma ni chuma hakuna chuma fake
Ila mbao Kuna mninga mbao ngumu alafu kuna mbao ya kawaida alafu Kuna mbao laini (softwood) hii haipatani na maji, siijui mikiki yako hata hivyo nakupongeza kwa kuwa na mikiki mikiki ya kushindana na chuma....!!!
Sitaki unielekeze wakati umetanguliza kejeli, ilifaa unielekeze hivo kabla hujaniita mchwa aka si binadamu. So futa hii reply yako ibakishe ya kejeli tu. Sihitaji kupongezwa kwa mikiki mikiki Niache mkuu
 
Sitaki unielekeze wakati umetanguliza kejeli, ilifaa unielekeze hivo kabla hujaniita mchwa aka si binadamu. So futa hii reply yako ibakishe ya kejeli tu. Sihitaji kupongezwa kwa mikiki mikiki Niache mkuu
Basi yaishe mrembo nilikuwa sijui ninachokifanya naomba unielewe me sijawahi gombana na mtu humu ila mwenyewe najishangaa hata siamini Kama me ndo niliandika hivyo!
 
Basi yaishe mrembo nilikuwa sijui ninachokifanya naomba unielewe me sijawahi gombana na mtu humu ila mwenyewe najishangaa hata siamini Kama me ndo niliandika hivyo!
Aah usijali mkuu yameshaisha hayo na wala usihesabie kama ulikua ni ugomvi, nisamehe pia kama nimekuudhi. Usiku mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…