David Allene
Member
- Jan 7, 2016
- 50
- 58
50k bossIko airport, Dar. ni kipya. inakua hivo na kistuli chake.
Price: 300K
Contacts: 0689015394View attachment 2072213
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]50k boss
20k chap MkuuIko airport, Dar. ni kipya. inakua hivo na kistuli chake.
Price: 300K
Contacts: 0689015394View attachment 2072213
Mbona Kama 4 kwa 6Iko airport, Dar. ni kipya. inakua hivo na kistuli chake.
Price: 300K
Contacts: 0689015394View attachment 2072213
50k boss
[emoji851]50k boss
Mikiki gani tena? Kwani mnacheza sindimba kwa kitanda?Kizuri ila kinahimili mikiki mkuu?
hahahaKizuri ila kinahimili mikiki mkuu?
We nae utadhani sio binadamu si chuma hiyo au macho yangu hayaoni vizuri Kama ni chuma na una wasiwasi na ufanisi wake WEWE utakuwa sio binadamuKizuri ila kinahimili mikiki mkuu?
We nae utadhani siyo binadamu pia, kwani kila chuma ni imara? Material za chuma zinafanana ufanisi wake? Unajua mimi nna mikiki gani hadi niulize? Why usinielekeze tu hadi unihisi siyo binadamu? Mimi ni mchwa siyo binadamu furahi sasa.We nae utadhani sio binadamu si chuma hiyo au macho yangu hayaoni vizuri Kama ni chuma na una wasiwasi na ufanisi wake WEWE utakuwa sio binadamu
Mambo ni mengi mkuu, sindimba plus heavy shows🤔Mikiki gani tena? Kwani mnacheza sindimba kwa kitanda?
Heavy duty?????Iko airport, Dar. ni kipya. inakua hivo na kistuli chake.
Price: 300K
Contacts: 0689015394View attachment 2072213
Chuma ni chuma hakuna chuma fakeWe nae utadhani siyo binadamu pia, kwani kila chuma ni imara? Material za chuma zinafanana ufanisi wake? Unajua mimi nna mikiki gani hadi niulize? Why usinielekeze tu hadi unihisi siyo binadamu? Mimi ni mchwa siyo binadamu furahi sasa.
Sitaki unielekeze wakati umetanguliza kejeli, ilifaa unielekeze hivo kabla hujaniita mchwa aka si binadamu. So futa hii reply yako ibakishe ya kejeli tu. Sihitaji kupongezwa kwa mikiki mikiki Niache mkuuChuma ni chuma hakuna chuma fake
Ila mbao Kuna mninga mbao ngumu alafu kuna mbao ya kawaida alafu Kuna mbao laini (softwood) hii haipatani na maji, siijui mikiki yako hata hivyo nakupongeza kwa kuwa na mikiki mikiki ya kushindana na chuma....!!!
Basi yaishe mrembo nilikuwa sijui ninachokifanya naomba unielewe me sijawahi gombana na mtu humu ila mwenyewe najishangaa hata siamini Kama me ndo niliandika hivyo!Sitaki unielekeze wakati umetanguliza kejeli, ilifaa unielekeze hivo kabla hujaniita mchwa aka si binadamu. So futa hii reply yako ibakishe ya kejeli tu. Sihitaji kupongezwa kwa mikiki mikiki Niache mkuu
Aah usijali mkuu yameshaisha hayo na wala usihesabie kama ulikua ni ugomvi, nisamehe pia kama nimekuudhi. Usiku mwemaBasi yaishe mrembo nilikuwa sijui ninachokifanya naomba unielewe me sijawahi gombana na mtu humu ila mwenyewe najishangaa hata siamini Kama me ndo niliandika hivyo!