INAUZWA Kitanda cha mninga-140,000/=

Tenderness

Member
Joined
Nov 28, 2015
Posts
29
Reaction score
18
Wakuu, bidhaa tajwa inauzwa hapo juu

Size= 5 * 6

Ni cha mbao (Mninga)

Sababu za kuuza= Shida za dunia

Bei 140,000/= Negotiable

Location; Mbezi Africana



Contacts; 0767819499
 
Duuuh! pole sana mkuu kwakukumbwa na shida hiyo inayopelekea kuuza kitanda kizuri hivyo tena kilichotengenezwa kwa mbao nzuri na imara kabisa.Ngoja waje wadau wakutatulie shida yako kwakukinunua,ila nakushauri ukope tu hiyo pesa kuliko kukiuza hicho kitanda.
 
Mkuu Asante kwa wazo lako, ila sasa sisi wengine kukopa tunaogopa masimango na kunyoosheana vidole Ndugu yangu.
 
Wanaume wa DSM bwana,ila sema Niko mbali tu hicho kitanda ningekuwa huko DSM ningekibeba

I have a dream.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…