Kitanda cha mtoto mtarajiwa wa Diamond ni Madini tupu

Huyu mtoto ajaye atakua maarufu sana kwakweli
 


Kitanda cha mtoto wa Taifa kama asemavyo mwenyewe Diamond kuwa huyo mtoto ni wa Taifa ndio icho uujauzito sasa unaelekea miezi 5 si mchezo.
Dinazarde warumi

I don't know, but I'm still doubting if either zari is real pregnant or diamond is responsible for the pregnancy... hata yeye mwenyewe hajiamini, i have heard him yesterday the way he was replying alivyoulizwa kuhusu ujauzito wa zari na kuhusu kuwa baba mtarajiwa, but the way alivyokuwa anajibu nikaelewa kitu. Siku zote MOTIVES (inner world ) DETERMINES (control) BEHAVIOR (our outer world ).

Ukiwa MBEA halafu ukawa unaelewa psychology ya mtu, basi utaelewa vitu vingi kupitia maelezo mafupi tu ya huyo mtu. Sura , macho na maelezo ya mtu vinasaidia sana kupata taarifa /umbea au ukweli kutoka kwa mtu unayemkusudia. by the way time will tell
 
Last edited by a moderator:

Hongera kwa kuandika ngeli leo,ung'eng'e
 

tangu lini mmbea akawa na muda wa kuhakiki umbea wake? Subiria mtoto wa taifa tu
 

walianza ku do lini? ilikuwa nchi gani SA au TZ?
 
tangu lini mmbea akawa na muda wa kuhakiki umbea wake? Subiria mtoto wa taifa tu

Diamond sio mwanaume wa kwanza kuzaa, kama kweli atabahatika kuwa na mtoto. Muda mrefu amekua akijitapa kuwapa wanawake mimba, ila wanawake wenyewe kwa nyakati tofauti wamekana tena wengine kufika mbali na kusema kuwa msanii huyo hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba, mimi na wewe hayo hatuyajui
 

I think Zarinah is real pregnant and Diamond is so excited.The lady is aged and yet she is sexy with multiple sources of income and she has experience with men so Diamond will be very easily handled.
Why would she fake pregnancy? Thats not her first time.Though they are too much of showbiZ, this is a vengeful relationship.Its time they concentrate on building their intimacy rather than showing their Exs that they rock!
Nna dictionary hapa.
 
mtoto wa taifa???? ina maana diamond anataka kujiita baba wa taifa??? huwez kuwa bb au mtoto wa taifa coz hauna jambo la muhim la kitaifa alilofanya diamond zaid ya kutuharibia vijana na watoto kuvaa ovyo na kuwa na fikra nyepesi za mapenzi badala ya kuwafundisha mashabiki wake kujitambua kisiasa, kiuchumi,kiutamaduni na kijamii.
 

kati ya cku zote leo nimekuelewa sana!!!
nilivomsikiliza jana nikaishia kuguna na kujisemea kuwa kaka anataka kutupia changa la macho baadae!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…