D delako JF-Expert Member Joined Oct 6, 2012 Posts 2,902 Reaction score 1,875 Oct 7, 2022 #1 Habari wanajf,Kitanda cha 5 kwa 6 na godoro lake vinauzwa kwa tsh laki 4 tu (400,000/=). Vyote ni vipya kabisa na havijawai kutumia kwani alinunua mdogo wangu na kuviweka kwangu Sasa kuna PESA anaitaji ndio sababu kubwa ya kuviuza. Vinapatikana TABATA KINYEREZI Dar es Salaam maongezi kidogo yapo. Kitanda ni mbao ya Mninga na godoro ni kutoka kampuni ya FURAHA. Karibuni kwa namba 0768 838320
Habari wanajf,Kitanda cha 5 kwa 6 na godoro lake vinauzwa kwa tsh laki 4 tu (400,000/=). Vyote ni vipya kabisa na havijawai kutumia kwani alinunua mdogo wangu na kuviweka kwangu Sasa kuna PESA anaitaji ndio sababu kubwa ya kuviuza. Vinapatikana TABATA KINYEREZI Dar es Salaam maongezi kidogo yapo. Kitanda ni mbao ya Mninga na godoro ni kutoka kampuni ya FURAHA. Karibuni kwa namba 0768 838320
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Oct 7, 2022 #2 Kila lakheri. Bei rafiki kabisa.
K kinje ketile JF-Expert Member Joined Dec 12, 2015 Posts 5,089 Reaction score 9,664 Oct 7, 2022 #3 Picha haziridhishi , piga tena usitumie tecno
D delako JF-Expert Member Joined Oct 6, 2012 Posts 2,902 Reaction score 1,875 Oct 7, 2022 Thread starter #4 Thanks wanajf wote mlioreply. Business closed.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Oct 7, 2022 #5 Ahsante kwa taarifa...