INAUZWA Kitanda na Godoro vinauzwa

delako

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
2,902
Reaction score
1,875
Habari wanajf,Kitanda cha 5 kwa 6 na godoro lake vinauzwa kwa tsh laki 4 tu (400,000/=).

Vyote ni vipya kabisa na havijawai kutumia kwani alinunua mdogo wangu na kuviweka kwangu Sasa kuna PESA anaitaji ndio sababu kubwa ya kuviuza.

Vinapatikana TABATA KINYEREZI Dar es Salaam maongezi kidogo yapo.

Kitanda ni mbao ya Mninga na godoro ni kutoka kampuni ya FURAHA.

Karibuni kwa namba 0768 838320

 
Kila lakheri. Bei rafiki kabisa.
 
Thanks wanajf wote mlioreply.

Business closed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…