Spliffcharm
Senior Member
- Jun 21, 2020
- 136
- 370
Labda kindugu kabisa nakupa 30,000/=Nauza kitanda mbao aina ya mninga cha ukubwa wa 6x6. Nmekitumia kwa muda wa miaka minne sasa. Nakitoa kwa bei ya kindugu kabisa na mwingine akaanze maisha. Napatikana mtoni kijichi mbagala kuu Temeke.
Bei ni 90,000Tshs maongezi yapo kidogo sana.
0673958899 Call/whatsapp.
Mbele ni wapi na nyuma ni wapi?Nauza kitanda mbao aina ya mninga cha ukubwa wa 6x6. Nmekitumia kwa muda wa miaka minne sasa. Nakitoa kwa bei ya kindugu kabisa na mwingine akaanze maisha. Napatikana mtoni kijichi mbagala kuu Temeke.
Bei ni 90,000Tshs maongezi yapo kidogo sana.
0673958899 Call/whatsapp.
Hata mm sijaelewa, labda mpaka uangalie mwelekeo wa chagaMbele ni wapi na nyuma ni wapi?
hahahahahaMbele ni wapi na nyuma ni wapi?
Hiyo inaitwa free size mkuu, ni upande wowowte unaotaka wewe😂😂Mbele ni wapi na nyuma ni wapi?
Hiyo 15k nenda nayo kwa Ras Simba kajifunze kuandika.15000 tumalize biashala
Kilipo kiti ndio kichwaniMbele ni wapi na nyuma ni wapi?