Kitanda usichokilalia bana daah!

Kitanda usichokilalia bana daah!

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,304
Yaani nashindwaga kuelewa haya mambo mimi!
1_wanaomlaumu Chibu Dee ndiyo wanaowadis singo maza kila siku.mnajua mateso aliyoteseka uswahilini na mzazi mmoja kijana,masimango na kejeli alizopata mnazijua?
2_Mliomshangilia muongoza njia (RIP) mnajua singoz alizotengeneza?
3_Mnaotamani kuwa kama mrithi wa marehemu Kanumba!mnajua mioyo aliyoijeruhi mpaka Sasa?
4_Mnaomdis binti machozi mnajua uchungu wa kufiwa na kipaji kwa kukosa jukwaa la kukionesha?
5_Mnaomsemasema mzee mhama vyama mtanga na njia mnajua fedha alizotumia kutafuta tiketi nyie,au mnasema tu.
Adhabu ya kaburi tumwachie maiti.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom