Kitanzi kupotelea kwenye kizazi

mamkuu5

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
1,139
Reaction score
718
Habari za humu wana jamvi, mimi ni mzazi wa watoto sita waliozaliwa mara tatu, yaani pacha tatu.

Kuepuka kuleta ya nne niliweka kitanzi, kwa muda sasa nimekua nasikia maumivu makali, ikabidi niende ka Dr wa wanawake kujieleza, alirecomend x-ray, nikapiga ndio wakaona kitanzi kipo kwenye kizazi.

Aliniambia kukitoa mpaka operation, sasa nauliza hakuna njia mbadala?
Naomba msaada!
 
duuuh pole my
sasa watoto sita si ungefunga tu uzazi jamani.
labda kitolewe kimiujiza
by prayey au kwa ramli otherwise kubali tu operesheni
 
Njia bira za uzazi ni za asili....pole sana ngoja wataalamu waje natumai utapata majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…