‘Kitchen Cabinet’ na anguko la himaya 2025

‘Kitchen Cabinet’ na anguko la himaya 2025

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Himaya huinuliwa na watu na himaya huangushwa na kupitia..
Ni kwa kupitia maono, mahitaji ya nyakati na kikomo cha muda.. Utawala husimama ama huanguka
Watu kama viumbehai vyenye utashi ni mtaji mkubwa sana kwenye himaya yoyote ile.. Watu hao hugawanyika katika makundi kadhaa
Wabeba maono/waongoza njia
Wasaidizi wao
Watendaji wakuu
Watendaji wa kati
Watendaji wa chini
Wanahimaya waongozwaji.. Watawaliwa..!
Hili kundi la mwisho ndio kundi msingi lenye mrejesho halisi toka kwa makundi mengine yote! Mrejesho hasi ama chanya!
Kuna kitu kipya kimeibuka sasa kunaitwa kitchen cabinet.. Unaweza kutafsiri kama kabati la jikoni ama baraza la jikoni nknk..
Jiko ndani ya nyumba ni muhimu sana maana ndipo kilipo chanzo cha shibe na nishati ya himaya ya mwili...
Waswahel wanasema nyumba ni choo.. Kwakuwa ni rahisi kutunza kilichoko jikoni(kiingiacho) kuliko kitokacho
Meko njema hustawisha afya na uhai wa wana familia ndani ya kaya! Meko mbovu ni sumu na anguko la kaya ndani ya familia
Kitchen cabinet inayopigiwa kelele kwa kila aina ya ubaya na uchafu sijui iko halali kiasi gani kisheria.. Lakini kutokana na mazonge yake inaweza kuwa ndio chetezo cha anguko la himaya 2025.. Kwakuwa uturi wake haunukii tena bali unatoa harufu kali ya uvundo unukao sana na Wanahimaya wamechoshwa na harufu mbaya
 
Kitchen cabinet inayopigiwa kelele kwa kila aina ya ubaya na uchafu sijui iko halali kiasi gani kisheria.
Mkuu Mshana Jr, usiwe na wasiwasi kabisa kuhusu hii kitchen cabinet yetu, sio tu ni halali kabisa kikatiba na kisheria, bali pia ina legitimacy ya kuchaguliwa na Watanzania by proxy ile 2020 kwa sababu kila kura iliyomchagua yule mpishi Mkuu ile 2020 pia ilimchagua na mpishi msaidizi!. Hoja hii nimeiendeshea darasa. Ijue Katiba: Je Wajua Kila Kura Iliyomchagua JPM Pia Ilimchagua Samia?. Is it Right Kusema Rais Samia Hakuchaguliwa?, Basi 2025 Tumchague?.
Lakini kutokana na mazonge yake inaweza kuwa ndio chetezo cha anguko la himaya 2025.
Yes hii ni kweli himaya inaweza kuanguka 2025, ila mchezo wa siasa ni scientific game, sio mchezo wa kombolela, au bahati nasibu kama sadakalawe au kolokolo, mchezo huu unafuata scientific principles, ili himaya moja kuanguka lazima kwanza kuwe na himaya nyingine yenye nguvu zaidi za kuiangusha himaya iliyopo na kuichukua nafasi yake, but its very unfortunately kwa himaya yetu hii, hakuna himaya mbadala to replace it, hivyo 2025 himaya inaendelea, labda 2030!. Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
Kwakuwa uturi wake haunukii tena bali unatoa harufu kali ya uvundo unukao sana na Wanahimaya wamechoshwa na harufu mbaya
Pia hapa nakubaliana kabisa na wewe kuwa uturi wake haunukii tena bali unatoa harufu kali ya uvundo unukao sana na Wanahimaya sio tuu wamechoshwa na harufu mbaya bali walichoshwa siku nyingi, ila mwili wa binadamu ni mwili wa ajabu, mtu ukikaa mahali kwenye harufu mbaya ya uvundo kwa muda mrefu, pua zako zinazoea na unakuwa huisikii tena hii harufu ya uvundo. Hivyo Wanahimaya wameisha zoea, na 2025 mwendo ni ule ule mwendo mdundo wa Unachukua...
Unaweka...
Waa...
Kwenye hili la CCM kuchokwa na Watanzania kuendelea kuichagua CCM, tumelisema sana na 2025, tunakwenda kuichagua tena!
P
 
Siku zote Himaya hutumia mbinu za kuwafanya wajinga na kulimit uwezo wa waongozwaji kupata taarifa sahihi na za ukweli ili washindwe kufanya maamuzi sahihi hii inapelekea Viongozi kuamini kuwa kutokana na waongozwaji hawana uwezo wa kupata taarifa sahihi kwa kuwa taarifa zote zinazotolewa na vyombo vyao ndio hata wao wanaamini kuwa waongozwaji hawana wanachojua hilo limewapa confidence kiasi kwamba wanapaliwa kutokana na ulafi uliokithiri. Sasa waongozwaji wamezinduka na kuelewa kipi kinaendelea. Ni ishara mbaya na hatari kwa himaya pale Waongozwaji wanapo amua kuchukua hatua ya kutaka mabadiliko hakuna nguvu inaweza kuwazuia na ikifika hali hiyo Mabadiliko ni lazima na hayaepukiki.
 
Himaya huinuliwa na watu na himaya huangushwa na kupitia..
Ni kwa kupitia maono, mahitaji ya nyakati na kikomo cha muda.. Utawala husimama ama huanguka
Watu kama viumbehai vyenye utashi ni mtaji mkubwa sana kwenye himaya yoyote ile.. Watu hao hugawanyika katika makundi kadhaa
Wabeba maono/waongoza njia
Wasaidizi wao
Watendaji wakuu
Watendaji wa kati
Watendaji wa chini
Wanahimaya waongozwaji.. Watawaliwa..!
Hili kundi la mwisho ndio kundi msingi lenye mrejesho halisi toka kwa makundi mengine yote! Mrejesho hasi ama chanya!
Kuna kitu kipya kimeibuka sasa kunaitwa kitchen cabinet.. Unaweza kutafsiri kama kabati la jikoni ama baraza la jikoni nknk..
Jiko ndani ya nyumba ni muhimu sana maana ndipo kilipo chanzo cha shibe na nishati ya himaya ya mwili...
Waswahel wanasema nyumba ni choo.. Kwakuwa ni rahisi kutunza kilichoko jikoni(kiingiacho) kuliko kitokacho
Meko njema hustawisha afya na uhai wa wana familia ndani ya kaya! Meko mbovu ni sumu na anguko la kaya ndani ya familia
Kitchen cabinet inayopigiwa kelele kwa kila aina ya ubaya na uchafu sijui iko halali kiasi gani kisheria.. Lakini kutokana na mazonge yake inaweza kuwa ndio chetezo cha anguko la himaya 2025.. Kwakuwa uturi wake haunukii tena bali unatoa harufu kali ya uvundo unukao sana na Wanahimaya wamechoshwa na harufu mbaya
Mna maneno mengi sana yasiyo na Tija badala mjadili anguko na Kushindwa Kwa maandamano uchwara Mko busy na Dua la kuku 😆😆

Huko mnakoita kitchen cabinet kama Kuna watu wanatumia nafasi ndivyo sivyo watawajibika wao as individual na sio Dua la kuku la kuangusha Serikali,hizi ndoto mlianza siku nyingi ila mumeshindwa.
 
Mimi nafikiri badala ya kulalamikia KC tungepaswa kushangaa idara zetu kushindwa ushawishi hadi dada yetu Maria asaidie kupiga kelele.

Ipo siku maelekezo yatatokea kwa jirani na tutaishia kulalamikia mitandaoni kama watu walioshiwa mbinu.
 
.
 

Attachments

  • downloadfile-160.jpg
    downloadfile-160.jpg
    60.8 KB · Views: 4
Himaya huinuliwa na watu na himaya huangushwa na kupitia..
Ni kwa kupitia maono, mahitaji ya nyakati na kikomo cha muda.. Utawala husimama ama huanguka
Watu kama viumbehai vyenye utashi ni mtaji mkubwa sana kwenye himaya yoyote ile.. Watu hao hugawanyika katika makundi kadhaa
Wabeba maono/waongoza njia
Wasaidizi wao
Watendaji wakuu
Watendaji wa kati
Watendaji wa chini
Wanahimaya waongozwaji.. Watawaliwa..!
Hili kundi la mwisho ndio kundi msingi lenye mrejesho halisi toka kwa makundi mengine yote! Mrejesho hasi ama chanya!
Kuna kitu kipya kimeibuka sasa kunaitwa kitchen cabinet.. Unaweza kutafsiri kama kabati la jikoni ama baraza la jikoni nknk..
Jiko ndani ya nyumba ni muhimu sana maana ndipo kilipo chanzo cha shibe na nishati ya himaya ya mwili...
Waswahel wanasema nyumba ni choo.. Kwakuwa ni rahisi kutunza kilichoko jikoni(kiingiacho) kuliko kitokacho
Meko njema hustawisha afya na uhai wa wana familia ndani ya kaya! Meko mbovu ni sumu na anguko la kaya ndani ya familia
Kitchen cabinet inayopigiwa kelele kwa kila aina ya ubaya na uchafu sijui iko halali kiasi gani kisheria.. Lakini kutokana na mazonge yake inaweza kuwa ndio chetezo cha anguko la himaya 2025.. Kwakuwa uturi wake haunukii tena bali unatoa harufu kali ya uvundo unukao sana na Wanahimaya wamechoshwa na harufu mbaya
Sasa Nyie wachawi na waganga kwanini hamuwalogi hawa wasiojulikana wanatutesa? Samahani kama niko nje ya mada
 
Mimi nafikiri badala ya kulalamikia KC tungepaswa kushangaa idara zetu kushindwa ushawishi hadi dada yetu Maria asaidie kupiga kelele.

Ipo siku maelekezo yatatokea kwa jirani na tutaishia kulalamikia mitandaoni kama watu walioshiwa mbinu.
Nini tena jamani?
 
Mkuu Mshana Jr umeandika hoja ya msingi Ila inaweza kuwa kitendawili ambacho baaadhi ya wana JF wakashindwa n’gamua.

Kwa uandishi wako baadhi yetu tunaweza soma msamiati wa mada bila ya kuelewa ina bashiriana vipi na kichwa cha habari.

Hilo neno ‘Kitchen Cabinet’ hata ukiwaulikuza waingereza waliolikiza zaidi si ajabu 70% ya population yao wakashindwa kukuelewa, ni muhimu kuelewa wasomajo wako kabla ya kuwapa lugha ya kitaaluma.

Ni hivi.

Kitchen Cabinet (ni nini).

Ni kikundi cha watu wachache ambao ni marafiki wa kiongozi anaowaamini na kuwahusisha kwenye maamuzi yake; bila ya kuzingatia wataalamu wengine rasmi wa ushauri alionao (civil servants).

Nimeona ni muhimu kuweka hilo kuliko sawa, kwa uzoefu wangu wa JF. Japo hoja yako inaeleweka kwa wanasiasa, Iła kuna wachangiaji wengi ambao siasa sio fani yao.
 

Ni hatari sana porojo zinapogeuzwa mijadala!
Ni
Mna maneno mengi sana yasiyo na Tija badala mjadili anguko na Kushindwa Kwa maandamano uchwara Mko busy na Dua la kuku 😆😆

Huko mnakoita kitchen cabinet kama Kuna watu wanatumia nafasi ndivyo sivyo watawajibika wao as individual na sio Dua la kuku la kuangusha Serikali,hizi ndoto mlianza siku nyingi ila mumeshindwa.
Ukiona gari ni kubwa na limekuzidi mwendo usipaparike kulidandia hasa kwa mbele unaumia vibaya sana na ni heri uumie kiuno tupunguze kizazi kibovu
 
Himaya huinuliwa na watu na himaya huangushwa na kupitia..
Ni kwa kupitia maono, mahitaji ya nyakati na kikomo cha muda.. Utawala husimama ama huanguka
Watu kama viumbehai vyenye utashi ni mtaji mkubwa sana kwenye himaya yoyote ile.. Watu hao hugawanyika katika makundi kadhaa
Wabeba maono/waongoza njia
Wasaidizi wao
Watendaji wakuu
Watendaji wa kati
Watendaji wa chini
Wanahimaya waongozwaji.. Watawaliwa..!
Hili kundi la mwisho ndio kundi msingi lenye mrejesho halisi toka kwa makundi mengine yote! Mrejesho hasi ama chanya!
Kuna kitu kipya kimeibuka sasa kunaitwa kitchen cabinet.. Unaweza kutafsiri kama kabati la jikoni ama baraza la jikoni nknk..
Jiko ndani ya nyumba ni muhimu sana maana ndipo kilipo chanzo cha shibe na nishati ya himaya ya mwili...
Waswahel wanasema nyumba ni choo.. Kwakuwa ni rahisi kutunza kilichoko jikoni(kiingiacho) kuliko kitokacho
Meko njema hustawisha afya na uhai wa wana familia ndani ya kaya! Meko mbovu ni sumu na anguko la kaya ndani ya familia
Kitchen cabinet inayopigiwa kelele kwa kila aina ya ubaya na uchafu sijui iko halali kiasi gani kisheria.. Lakini kutokana na mazonge yake inaweza kuwa ndio chetezo cha anguko la himaya 2025.. Kwakuwa uturi wake haunukii tena bali unatoa harufu kali ya uvundo unukao sana na Wanahimaya wamechoshwa na harufu mbaya
Asomaye na aelewe.
 

Ni hatari sana porojo zinapogeuzwa mijadala!
Ni
Mna maneno mengi sana yasiyo na Tija badala mjadili anguko na Kushindwa Kwa maandamano uchwara Mko busy na Dua la kuku 😆😆

Huko mnakoita kitchen cabinet kama Kuna watu wanatumia nafasi ndivyo sivyo watawajibika wao as individual na sio Dua la kuku la kuangusha Serikali,hizi ndoto mlianza siku nyingi ila mumeshindwa.
Ukiona gari ni kubwa na limekuzidi mwendo usipaparike kulidandia hasa kwa mbele unaumia vibaya sana na ni heri uumie kiuno tupunguze kizazi
Mimi nafikiri badala ya kulalamikia KC tungepaswa kushangaa idara zetu kushindwa ushawishi hadi dada yetu Maria asaidie kupiga kelele.

Ipo siku maelekezo yatatokea kwa jirani na tutaishia kulalamikia mitandaoni kama watu walioshiwa mbinu.
MTAZAMO hapa si kulalamika bali ndio mahala pekee pa kuweza kujadiliana kwa weledi. Na ili iwepo mada jadilika ni lazima awepo mchokoza mada
 
Pia hapa nakubaliana kabisa na wewe kuwa uturi wake haunukii tena bali unatoa harufu kali ya uvundo unukao sana na Wanahimaya sio tuu wamechoshwa na harufu mbaya bali walichoshwa siku nyingi, ila mwili wa binadamu ni mwili wa ajabu, mtu ukikaa mahali kwenye harufu mbaya ya uvundo kwa muda mrefu, pua zako zinazoea na unakuwa huisikii tena hii harufu ya uvundo. Hivyo Wanahimaya wameisha zoea, na 2025 mwendo ni ule ule mwendo mdundo wa Unachukua...
Unaweka...
Waa...
P
Aisee😯
 
Back
Top Bottom