nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,342
- 3,885
Mimi najiulizaga hivi mwanamke asipofanyiwa sherehe kitchen party hawezi kuwa mke mwema kwa mmewe. Maana siku hizi kwenye kitchen party kuna misemo kama vile ''sufuria haikai kwenye figa moja'' au ''ubebapo ndoo sharti ubebe na kidumu mkononi kwa ajili ya balance'' haya maneno yanaongeza usaliti kwenye ndoa