..samaani. Ngoja niulizie nyumba ya pili.Hapana tunauza kashata
Tatizo lako umezidi kupiga chabo hata mkeo unampiga chabo
Mimi najiulizaga hivi mwanamke asipofanyiwa sherehe kitchen party hawezi kuwa mke mwema kwa mmewe. Maana siku hizi kwenye kitchen party kuna misemo kama vile ''sufuria haikai kwenye figa moja'' au ''ubebapo ndoo sharti ubebe na kidumu mkononi kwa ajili ya balance'' haya maneno yanaongeza usaliti kwenye ndoa
utumbo ndo nini?duh... Utumbo siku hizi dili eeh.....
Nilipata kusikia kuwa ukiopoa mdada zama hizi (sasa sijui bongo pekee au na mikoa mingine..) Kuwa usipoomba upewe utumbo mdada wa kileo anakuona ****.... Ila nilizipokea kwa fadhaa kubwa sana taarifa hizo...!
mie zote nilizohudhuria sijawahi kusikia kuhusu mafiga matatu, na ndoo na kidumu ila nimesikia kumuhusisha sana mungu kwenye ndoa ili akupe hekima ya kuijenga ndoa yako kwa msingi imara na mengine mengi ya busara zaidi kiujumla kitchen party nilizohudhuria zinanijenga na kunikumbusha mambo mbalimbali nayotakiwa kufanya as woman.