kitchen party ianfaida zake, malengo yake haswa yalikuwa ni kumfunza ama kumfunda mwanamke namna ya kutunza familia na mume wake anapoolewa ilikuwa inadeal na mambo ya mapishi na chumbani pia, kwanza ilikuwa ikifanyikia nyumban kwa bi harus mtarajiwa na wahusika walikuwa ni kina mama tu, kwa hyo kila mmoja alimuasa binti namna ya kuitunza vizur familia na mambo mengine ya nyumbani ikiwamo usafi, heshima, na ukarimu na mengine kama hayo. siku hz kitchen party nin ya ukumbini tena na wanaume akiwemo mume mtarajiwa anakuwepo. imekuwa kiufahar zaid imepoteza sana maana yake halisi