Kitchen tricks

Kitchen tricks

farkhina

Platinum Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
14,568
Reaction score
16,917
Habari zenu...

Leo nimepata wzo:lets share tricks za jikoni,hope kila mtu ana za kwako....

Ntaanza mimi lol....


#1 ) jinsi ya kutumia mdalasini (cinamon) kuondoa harufu mbaya jikoni.....mfano shombo la samaki,au umepika chakula kimetoa harufu mbaya....

Namna ya kuutumia huo mdalasini....

Wakati unapika mfano unakaanga samaki..katika jiko jengine unaweka maji kiasi then mdalasin unaacha inachemka...

Au kama una jiko moja waweza malizia kupika then ukafanya hiyo process ya kuondoa maharufu.....

Wengi wetu hutamani kula chakula flani lakini tunashindwa kuvipika kwasababu tu vinaacha harufu mbaya ndani ya nyuma....


So trick ni hiyo.....lets enjoy kila kupika kila tupendacho hata kama vina harufu...
 

Attachments

  • 1388316356925.jpg
    1388316356925.jpg
    12.6 KB · Views: 423
  • 1388316378760.jpg
    1388316378760.jpg
    16.4 KB · Views: 407
#2 ) how to test baking soda kama bado inafanya kazi uzuri....ili isikuharibie upishi wako....

Chukua bakuli dogo na safi mimina vinegar(siki) kidogo tu then add teaspoon ya baking soda...itafanya mapovu mengi sana kama inafoka....mapozi yatachukua mda hadi kuondoka...

Kadri inavofanya mapovu mengi ndio baking soda ipo vizuri zaidi kupikia...
 
#2 ) how to test baking soda kama bado inafanya kazi uzuri....ili isikuharibie upishi wako....

Chukua bakuli dogo na safi mimina vinegar(siki) kidogo tu then add teaspoon ya baking soda...itafanya mapovu mengi sana kama inafoka....mapozi yatachukua mda hadi kuondoka...

Kadri inavofanya mapovu mengi ndio baking soda ipo vizuri zaidi kupikia...

........
BAK amu King'asti Angel Nylon measkron Ennie Swts mimi49 na wengine
 

Attachments

  • 1388317100971.jpg
    1388317100971.jpg
    22 KB · Views: 339
  • 1388317137225.jpg
    1388317137225.jpg
    9.3 KB · Views: 331
Last edited by a moderator:
#2 ) how to test baking soda kama bado inafanya kazi uzuri....ili isikuharibie upishi wako....

Chukua bakuli dogo na safi mimina vinegar(siki) kidogo tu then add teaspoon ya baking soda...itafanya mapovu mengi sana kama inafoka....mapozi yatachukua mda hadi kuondoka...

Kadri inavofanya mapovu mengi ndio baking soda ipo vizuri zaidi kupikia...

Be blessed mamy,nimeshamwaga sana kwa kui judge kwa macho tu.
 
Na hamira je, lol! Hapo kwenye mdalasini umenipata. Siku ya kukaanga samaki aisee natamani kuhama nyumba. Naishia kusugua jiko na vim kila mahali na kukimbizana na kuosha vyombo walau kupunguza shombo. Asante sana.
 
Na hamira je, lol! Hapo kwenye mdalasini umenipata. Siku ya kukaanga samaki aisee natamani kuhama nyumba. Naishia kusugua jiko na vim kila mahali na kukimbizana na kuosha vyombo walau kupunguza shombo. Asante sana.

Hamira ntaweka inshaallah....usijali shosti so siku hizi ukikaanga samaki wala hujikeri tena


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kwenye upishi shida yetu wengi ni muda. Tunadhani hatuwezi kupika kwa sababu tuko busy etc. Ili kuweza kupika vizuri na haraka unahitaji haya:
1 wekeza kwenye gadgets. Jiko zuri, kisu kikali (hii ni must kwangu), sijui peeler, veggie chopper, dough maker, pressure cooker etc.

2 vitunguu swaumu nunua vingi, menya na kutwanga na chumvi kisha weka kwenye chupa ya kioo ambayo inafunga tightly. Chupa iliyokuwa na mayonnaise inafaa zaidi

3nunua green groceries kwa wingi na osha zote na kukausha maji (unaweza kuzilaza kwenye strainer hadi asubuhi) kisha panga kwenye friji. Wakati wa kupika ukishaosha mikono yako huhitaji kuosha kila kitu upya. You chop and throw into the steaming pot

4mi napenda nazi ya kiswahili. Nunua nazi nyingi kama zinapatikana ulipo. Kuna zote zikiwa fresh na weka kwenye freezer kwa kugawa portions ndogo. Unaweza kutumia film ya kufunikia chakula ama mifuko laini
 
Save energy by soaking beans overnight for cooking next day, else tumia pressure cooker.
 
Ushawahi kugonga mayai kwenye bakuli halafu vichembe chembe vya egg-shell vikadondokea kwenye bakuli? Mimi hivyo huwa vinanikera sana aisee. Chukua hii tip.....

The empty half of an egg shell is the best tool to extract stubborn bits of cracked shells that have ended up in the bowl. As Niki says, "They're like magnets!"
Source

Kwa wenye microwaves, ukitaka kuisafisha vizuri microwave yako basi pika bacon kama mbili au tatu hivi, ziweke kwenye paper plates, zifunike na paper plate ingine, zipike kwenye microwave kwa dakika mbili hadi tatu hivi.

Muda ukiisha chukua paper towel, toa paper plate, ikunje paper towel(s) yako na anza kufuta mle ndani. Hii mbinu inafanya kazi vizuri kuliko kunyunyizia glass cleaner kwenye paper towel na kuanza kusafisha.
 
Hamira ntaweka inshaallah....usijali shosti so siku hizi ukikaanga samaki wala hujikeri tena


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

I meant how do you test hamira kama haijaharibika? Manake mie siumui hamira kabla ya matumizi.

Kuna mbinu pia ta kusafisha friji na baking soda kupata the freshness.
 
Save energy by soaking beans overnight for cooking next day, else tumia pressure cooker.

Hii inapunguza gesi sana.....then ukipika ukaweka tangawizi ndio kabisa hayataumiza tumbo
 
Back
Top Bottom