Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Mie nasaga kwa food process siweki maji wala mafuta....na tangawizi nafanya hivo hivo nasaga naweka kwenye chupa...
Shukrani sana bibie farkhina naomba unisaidie namna ya kusafisha frigde manake linatoa harufu siipendi basi tu.
Miss u too...santeππππππ
Sawa usijali...
Namna ya kusafisha fridge....
1)hakikisha vyakula vyote vilivobakia unaweka kwenye bakuli yenye ufuniko ndio unaweka frijini....
2)osha matunda ama vegetables kama ya kuweka ndani ya fridge...
3)ondoa vyakula vyoye ndani ya fridge tupa kila kilivho expire au kukaa zaidi ya 6 months....then toa shelving na drawers then osha kwa sabuni na sponge laini then futa kwa kitambaa safi ili vikauke....
4)pulizia cleaning solution katika fridge then tumia sponge safi kufuta....kama huna cleaning solution tumia......( i)2 tablespoon ya baking soda na maji ya moto kidogo.....(ii)apple cider vinegar na maji ya moto kidogo...
2)then safisha nje ya fridge pamoja na milango....
3)rudisha drawers na panga vitu vyako.....
Turudi jikoni tena mammy
Kwenye upishi shida yetu wengi ni muda. Tunadhani hatuwezi kupika kwa sababu tuko busy etc. Ili kuweza kupika vizuri na haraka unahitaji haya:
1 wekeza kwenye gadgets. Jiko zuri, kisu kikali (hii ni must kwangu), sijui peeler, veggie chopper, dough maker, pressure cooker etc.
2 vitunguu swaumu nunua vingi, menya na kutwanga na chumvi kisha weka kwenye chupa ya kioo ambayo inafunga tightly. Chupa iliyokuwa na mayonnaise inafaa zaidi
3nunua green groceries kwa wingi na osha zote na kukausha maji (unaweza kuzilaza kwenye strainer hadi asubuhi) kisha panga kwenye friji. Wakati wa kupika ukishaosha mikono yako huhitaji kuosha kila kitu upya. You chop and throw into the steaming pot
4mi napenda nazi ya kiswahili. Nunua nazi nyingi kama zinapatikana ulipo. Kuna zote zikiwa fresh na weka kwenye freezer kwa kugawa portions ndogo. Unaweza kutumia film ya kufunikia chakula ama mifuko laini