Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini umesema hivyo? kuwa hakuna mtu atakae chaguwa Soda kuwa ndio kiburudisho chake? hujuwi Soda ina faida ya wewe kukuongezea kitumboMkuu MziziMkavu kuna atakae chagua soda kweli?
Kwanini umesema hivyo? kuwa hakuna mtu atakae chaguwa Soda kuwa ndio kiburudisho chake? hujuwi Soda ina faida ya wewe kukuongezea kitumbo
kitambi na kukuletea gesi tumboni na kukfanya wewe uwe mteja wa kunywa soda kila siku? Fiada ya maji inakupa Afya
na kukuondoshea maradhi tumboni ,maji inaondosha kuvimbirwa kwa tumbo, maji ni tiba kwa kila maradhi Maji ni uhai kwa
bindamu paispo na maji hakuan uhai. Sasa wewe utachaguwa ipi Maji kwa ajili ya Afya yako au soda kwa ajili ya kuleta
gesi na maradhi mengine? Swali lingine kwa mfano mimi na wewe ni ndugu baba Mmoja na mama Mmoja wazazi wetu
wamefariki wameacha nyumba moja ya gorofa 3 na Pesa Bank Taslim Shillingi Millioni 300 kwa mfano Je wewe
utachaguwa kipi? tunataka mimi na wewe tugawane Je wewe utachaguwa Nyumba ya Gorofa 3? au utachaguwa
pesa?
ninaomba unijibu?
Mdogo wangu utafiti kumbe unayo akili nilifikiri utachukuwa pesa za machungwa uniachie nyumba ya gorofa 3 nijidai na mke wangu kumbe akili inafanya kazi kwako hongera sana.Nachukua gorofa nakuachia hela mkuu tena kwa roho safi
Hiyo ni mfano tu kaka sio kweli milikuwa ninataka kumpima akili mdogo wangu huyo utafiti kumbe anayo akili hahahhhhhnyumba ya ghorofa tatu ni mililon mia5 mkuu
KATI YA MAJI NA SODA UTACHAGUWA KIPI KWA AFYA YAKO? JIBU KWAKO NA KAZI KWAKO MIMI SIMO
![]()