Kitendawili...!! Tega...!!

Olesambai

Member
Joined
Jul 31, 2012
Posts
39
Reaction score
4
Naomba mnipe jibu la kitendawili hiki: Ni cheupe kama barafu na cheusi kama giza. Kuliwa ni HARAMU, kunywa ni HALALI. Hutumiwa na wanaume mara tatu kwa siku na mara moja na wanawake katika maisha yao! Ni nini hiyo? Tafakarini mkishindwa mtafute Baraza la Kiswahili maana nimeulizwa na wanafunzi nimetafuta majibu nimekosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…