K Kashaija JF-Expert Member Joined Aug 7, 2008 Posts 255 Reaction score 62 Sep 24, 2008 #1 Kikiwa kichafu CHEUPE, kikiwa kisafi CHEUSI. Je, ni kitu gani hiki?
Che Kalizozele JF-Expert Member Joined Jul 20, 2008 Posts 777 Reaction score 50 Sep 25, 2008 #2 Mkuu kitendawili chako kigumu, lakini si tatizo mie nakupa mji. Nenda kigoma mwana wane ukale migebuka na muheshimiwa zito. Haya lete jibu sasa
Mkuu kitendawili chako kigumu, lakini si tatizo mie nakupa mji. Nenda kigoma mwana wane ukale migebuka na muheshimiwa zito. Haya lete jibu sasa
K Kashaija JF-Expert Member Joined Aug 7, 2008 Posts 255 Reaction score 62 Sep 25, 2008 Thread starter #3 Kigoma kwa watani wangu, siendi. Hata hivyo jibu lake ni rahisi sana.
H Haika JF-Expert Member Joined Mar 3, 2008 Posts 2,347 Reaction score 562 Sep 25, 2008 #4 au mimi nikupe mji? basi nenda dodoma saa hizi kumetulia wabunge wameondoka
Che Kalizozele JF-Expert Member Joined Jul 20, 2008 Posts 777 Reaction score 50 Sep 25, 2008 #5 kashaija said: Kigoma kwa watani wangu, siendi. Hata hivyo jibu lake ni rahisi sana. Click to expand... Kama ndo hivyo mwana wane,njoo kwenye lijiji la mwanza,tutakupikia matoke na risangara mwanawane.Karibu sana
kashaija said: Kigoma kwa watani wangu, siendi. Hata hivyo jibu lake ni rahisi sana. Click to expand... Kama ndo hivyo mwana wane,njoo kwenye lijiji la mwanza,tutakupikia matoke na risangara mwanawane.Karibu sana
Nyaralego JF-Expert Member Joined Nov 13, 2007 Posts 732 Reaction score 28 Sep 25, 2008 #6 kashaija said: Kikiwa kichafu CHEUPE, kikiwa kisafi CHEUSI. Je, ni kitu gani hiki? Click to expand... Ni Black Board. chafu ina chalk na ukufuta ni safi.
kashaija said: Kikiwa kichafu CHEUPE, kikiwa kisafi CHEUSI. Je, ni kitu gani hiki? Click to expand... Ni Black Board. chafu ina chalk na ukufuta ni safi.
K Kashaija JF-Expert Member Joined Aug 7, 2008 Posts 255 Reaction score 62 Sep 26, 2008 Thread starter #7 Thanx Nyaralego.