Kitendo cha CCM kumleta Wassira mzee wa miaka 80 inaonyesha upungufu wa human resource katika chama hicho

Kitendo cha CCM kumleta Wassira mzee wa miaka 80 inaonyesha upungufu wa human resource katika chama hicho

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Of all the people ndani ya chama cha mapinduzi eti CCM wanamleta Stephen Wassira. Mzee wa miaka 80 eti awe ndiyo makamu mwenyekiti wa chama hicho. Hili ni jambo la kustaajabisha sana kwa viwango vyovyote vile. Na hii ni kwa sababu zifuatazo.

1. Tulitegemea CCM ijifunze kwa Kujiuzulu Kinana.

Kinana aliyekuwa ni makamu mwenyekiti wa CCM mara kibao alisikika akisema kuwa amechoka anaomba apumzike. Kinana yeye ana miaka 74, Huku Stephen Wassira ana miaka 80. Katika hali ya kawaida tulitegemea CCM ijiulize mara mbilimbili kuwa kama huyu mwenye 74 anaona kazi inamuelemea (kwa changamoto za mambo mengi zikiwemo za uzee), Je huyu wa miaka 80 ana nafuu gani kumshinda mdogo wake wa miaka 74?.

2. Mzee siyo kweli kuwa yuko fit kiafya

Mzee Wassira anaishi Mbweni, watu wanazijua changamoto zake za kiumri, ikiwemo hata kufanya mazoezi kwa kusaidiwa. Kwa nini CCM isilione hili?. Huyu mzee anayehitaji utulivu ili angalau aweze kutumia nguvu zake ndogo uzeeni, kwa nini CCM inakuwa na ubinafsi kiasi hiki, haionei huruma wazee, kwa nini isimuache mzee wa watu kupumzika?

3. Yumkini CCM imepungukiwa na pool ya watu wenye uwezo.

Mzee Wassira ni mtu aliyehudumu katika chama na serikali tangu miaka ya 1970's wakati huo Rais ni Nyerere, na wakati huo Makongoro Nyerere akiwa shule ya Sekondari. Mtu kama huyu ana kipya gani kwa CCM ya sasa na ana mawazo gani ya kuendana na nyakati za sasa.

Soma Pia: Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara

Hili jambo linatupa ishara moja, kuwa CCM ya sasa haina watu wenye gravita kubwa ya kisiasa, wenye uwezo na kwa hiyo inaenda kukopa kwa watu wa zamani wa enzi za Nyerere. Hii ni aibu na fedheha kwa CCM ya hivi karibuni kushindwa kutengeneza viongozi. Ukianhalia safu za makada wa CCM walio wengi ni wepesiii hakuna manguli wa kisiasa.

4. Huenda Samia anataka aendelee na mazungumzo na Upinzani anadhani Wassira atamsaidia.

Ni kweli, katika watu ndani ya CCM waliokuwa na Intellectual prowess (uwezo mkubwa wa kiakili) wa kudeal na Wapinzani na kwenda nao hoja kwa hoja ni Wassira. Kwa hiyo kama mazungumzo ya maridhiano yatahuishwa, Wassira ndo atachukua nafasi ya Kinana ktk mazungumzo hayo. Nadhani ni matumaini ya Samia kufikiri kuwa Wassira ataweza. Hata hivyo Samia amesahau kuwa Wassira wa sasa, siyo Wassira wa enzi za Jakaya miaka 10 iliyopita. Huyu wa sasa ni mzee sana. Na ukizeeka sana hata akili inaslow.

5. Ni kudhihaki waasisi wa CCM waliohudumu na kuamua kung'atuka uongozi wa chama ili chama kipate uelekeo mpya.

Kawawa alistaafu siasa za CCM akiwa na umri mdogo tu kulinganisha na Wassira, akiwa chini ya miaka 70. Nyerere akaacha siasa za uongozi wa CCM mwaka 1990 akiwa na miaka 68 (Wakati huo kofia za mwenyekiti na rais zilikuwa tofauti). Sasa huyu mzee wa miaka 80 wa nini, alete nini?

6. Mwenyekiti wa CCM haonyeshi umakini kwenye kuunda timu za kumsaidia kazi.

Hili limedhihirika katika teuzi anazozifanya kama rais, teua tengua zisizoisha, recycling isiyoisha, na sasa amefanya kituko cha karne kwa kumleta mtu wa mwaka 45 ili eti awe makamo wake. Inashangaza sana!
 
Of all the people ndani ya chama cha mapinduzi eti CCM wanamleta Stephen Wassira. Mzee wa miaka 80 eti awe ndiyo makamu mwenyekiti wa chama hicho. Hili ni jambo la kustaajabisha sana kwa viwango vyovyote vile. Na hii ni kwa sababu zifuatazo.

1. Tulitegemea CCM ijifunze kwa Kujiuzulu Kinana.

Kinana aliyekuwa ni makamu mwenyekiti wa CCM mara kibao alisikika akisema kuwa amechoka anaomba apumzike. Kinana yeye ana miaka 74, Huku Stephen Wassira ana miaka 80. Katika hali ya kawaida tulitegemea CCM ijiulize mara mbilimbili kuwa kama huyu mwenye 74 anaona kazi inamuelemea (kwa changamoto za mambo mengi zikiwemo za uzee), Je huyu wa miaka 80 ana nafuu gani kumshinda mdogo wake wa miaka 74?.

2. Mzee siyo kweli kuwa yuko fit kiafya

Mzee Wassira anaishi Mbweni, watu wanazijua changamoto zake za kiumri, ikiwemo hata kufanya mazoezi kwa kusaidiwa. Kwa nini CCM isilione hili?. Huyu mzee anayehitaji utulivu ili angalau aweze kutumia nguvu zake ndogo uzeeni, kwa nini CCM inakuwa na ubinafsi kiasi hiki, haionei huruma wazee, kwa nini isimuache mzee wa watu kupumzika?

3. Yumkini CCM imepungukiwa na pool ya watu wenye uwezo.

Mzee Wassira ni mtu aliyehudumu katika chama na serikali tangu miaka ya 1970's wakati huo Rais ni Nyerere, na wakati huo Makongoro Nyerere akiwa shule ya Sekondari. Mtu kama huyu ana kipya gani kwa CCM ya sasa na ana mawazo gani ya kuendana na nyakati za sasa. Hili jambo linatupa ishara moja, kuwa CCM ya sasa haina watu wenye gravita kubwa ya kisiasa, wenye uwezo na kwa hiyo inaenda kukopa kwa watu wa zamani wa enzi za Nyerere. Hii ni aibu na fedheha kwa CCM ya hivi karibuni kushindwa kutengeneza viongozi. Ukianhalia safu za makada wa CCM walio wengi ni wepesiii hakuna manguli wa kisiasa.

4. Huenda Samia anataka aendelee na mazungumzo na Upinzani anadhani Wassira atamsaidia.

Ni kweli, katika watu ndani ya CCM waliokuwa na Intellectual prowess (uwezo mkubwa wa kiakili) wa kudeal na Wapinzani na kwenda nao hoja kwa hoja ni Wassira. Kwa hiyo kama mazungumzo ya maridhiano yatahuishwa, Wassira ndo atachukua nafasi ya Kinana ktk mazungumzo hayo. Nadhani ni matumaini ya Samia kufikiri kuwa Wassira ataweza. Hata hivyo Samia amesahau kuwa Wassira wa sasa, siyo Wassira wa enzi za Jakaya miaka 10 iliyopita. Huyu wa sasa ni mzee sana. Na ukizeeka sana hata akili inaslow.

5. Ni kudhihaki waasisi wa CCM waliohudumu na kuamua kung'atuka uongozi wa chama ili chama kipate uelekeo mpya.

Kawawa alistaafu siasa za CCM akiwa na umri mdogo tu kulinganisha na Wassira, akiwa chini ya miaka 70. Nyerere akaacha siasa za uongozi wa CCM mwaka 1990 akiwa na miaka 68 (Wakati huo kofia za mwenyekiti na rais zilikuwa tofauti). Sasa huyu mzee wa miaka 80 wa nini, alete nini?

6. Mwenyekiti wa CCM haonyeshi umakini kwenye kuunda timu za kumsaidia kazi.

Hili limedhihirika katika teuzi anazozifanya kama rais, teua tengua zisizoisha, recycling isiyoisha, na sasa amefanya kituko cha karne kwa kumleta mtu wa mwaka 45 ili eti awe makamo wake. Inashangaza sana!
Mtu asiyestahili akipewa fadhila ya nafasi kuongoza..maana yake waliompa hiyo fadhila ndio wanatumikia hiyo nafasi! Ccm iko chini ya tiss zitto alishasema jambo hili mara nyingi, wao ndio wanafadhili wanaowataka..chama kinaongozwa na mercenaries!
 
Sio CCM tu inayopenda wazee na Wala CCM haijapungikiwa human resources. Chama Cha Republican Cha Marekani kilimuweka Mzee Trump miaka 78 agombee Urais na akashinda. Republican (Wenye Trump miaka 78) wana tofauti gani na CCM (Wenye Wassira miaka 80)?
 
Wassira na Mbowe wamepishana miaka 14 tu

Wassira anafanya Mikutano 12 Kwa Siku 🐼
 
Kwa hiyo wewe nikati ya wale 6 mliopiga kura ya hapana?
 
Kikwete alisema ili nchi itulie inabidi tukumbatie wazee. Hivyo tumempa Wasira ili kumpa Kikwete majibu
 
Sio CCM tu inayopenda wazee na Wala CCM haijapungikiwa human resources. Chama Cha Republican Cha Marekani kilimuweka Mzee Trump miaka 78 agombee Urais na akashinda. Republican (Wenye Trump miaka 78) wana tofauti gani na CCM (Wenye Wassira miaka 80)?
Sasa Huyu wasira si alikuwa huko chamani na serikalini tangu miaka ya 70 unadhani ataleta kipi kipya
 
Of all the people ndani ya chama cha mapinduzi eti CCM wanamleta Stephen Wassira. Mzee wa miaka 80 eti awe ndiyo makamu mwenyekiti wa chama hicho. Hili ni jambo la kustaajabisha sana kwa viwango vyovyote vile. Na hii ni kwa sababu zifuatazo.

1. Tulitegemea CCM ijifunze kwa Kujiuzulu Kinana.

Kinana aliyekuwa ni makamu mwenyekiti wa CCM mara kibao alisikika akisema kuwa amechoka anaomba apumzike. Kinana yeye ana miaka 74, Huku Stephen Wassira ana miaka 80. Katika hali ya kawaida tulitegemea CCM ijiulize mara mbilimbili kuwa kama huyu mwenye 74 anaona kazi inamuelemea (kwa changamoto za mambo mengi zikiwemo za uzee), Je huyu wa miaka 80 ana nafuu gani kumshinda mdogo wake wa miaka 74?.

2. Mzee siyo kweli kuwa yuko fit kiafya

Mzee Wassira anaishi Mbweni, watu wanazijua changamoto zake za kiumri, ikiwemo hata kufanya mazoezi kwa kusaidiwa. Kwa nini CCM isilione hili?. Huyu mzee anayehitaji utulivu ili angalau aweze kutumia nguvu zake ndogo uzeeni, kwa nini CCM inakuwa na ubinafsi kiasi hiki, haionei huruma wazee, kwa nini isimuache mzee wa watu kupumzika?

3. Yumkini CCM imepungukiwa na pool ya watu wenye uwezo.

Mzee Wassira ni mtu aliyehudumu katika chama na serikali tangu miaka ya 1970's wakati huo Rais ni Nyerere, na wakati huo Makongoro Nyerere akiwa shule ya Sekondari. Mtu kama huyu ana kipya gani kwa CCM ya sasa na ana mawazo gani ya kuendana na nyakati za sasa. Hili jambo linatupa ishara moja, kuwa CCM ya sasa haina watu wenye gravita kubwa ya kisiasa, wenye uwezo na kwa hiyo inaenda kukopa kwa watu wa zamani wa enzi za Nyerere. Hii ni aibu na fedheha kwa CCM ya hivi karibuni kushindwa kutengeneza viongozi. Ukianhalia safu za makada wa CCM walio wengi ni wepesiii hakuna manguli wa kisiasa.

4. Huenda Samia anataka aendelee na mazungumzo na Upinzani anadhani Wassira atamsaidia.

Ni kweli, katika watu ndani ya CCM waliokuwa na Intellectual prowess (uwezo mkubwa wa kiakili) wa kudeal na Wapinzani na kwenda nao hoja kwa hoja ni Wassira. Kwa hiyo kama mazungumzo ya maridhiano yatahuishwa, Wassira ndo atachukua nafasi ya Kinana ktk mazungumzo hayo. Nadhani ni matumaini ya Samia kufikiri kuwa Wassira ataweza. Hata hivyo Samia amesahau kuwa Wassira wa sasa, siyo Wassira wa enzi za Jakaya miaka 10 iliyopita. Huyu wa sasa ni mzee sana. Na ukizeeka sana hata akili inaslow.

5. Ni kudhihaki waasisi wa CCM waliohudumu na kuamua kung'atuka uongozi wa chama ili chama kipate uelekeo mpya.

Kawawa alistaafu siasa za CCM akiwa na umri mdogo tu kulinganisha na Wassira, akiwa chini ya miaka 70. Nyerere akaacha siasa za uongozi wa CCM mwaka 1990 akiwa na miaka 68 (Wakati huo kofia za mwenyekiti na rais zilikuwa tofauti). Sasa huyu mzee wa miaka 80 wa nini, alete nini?

6. Mwenyekiti wa CCM haonyeshi umakini kwenye kuunda timu za kumsaidia kazi.

Hili limedhihirika katika teuzi anazozifanya kama rais, teua tengua zisizoisha, recycling isiyoisha, na sasa amefanya kituko cha karne kwa kumleta mtu wa mwaka 45 ili eti awe makamo wake. Inashangaza sana!
CCM ni chama chakavu lazima watu chakavu wakichakaze
 
Makamu Mwenyekit ana majukum gani yanayohitaj nguvu?

Makamu Mwenyekit anahitaj kukijua chama ikiwemo kanuni na taratibu zake.

Makamu Mwenyekit anahitaj kuwa na busara.
Makam Mwenyekit wa chama dola anahitaj uelewa kuhusu serikali na taasisi zake.

Lakin pia makamu Mwenyekit anahitaj kulijua bunge na taratibu zake.

Sifa ipi unadhani Mzee Wassira Hana?
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM ni tofauti na makamu wenyeviti wa vyama vingine. Anatakiwa kuwa mtu mzima mwenye busara na hekima KUBWA. Pamoja na mambo mengine ndio atakuwa msaidizi na mshauri Mkuu si tu wa Mwenyekiti wa CCM bali wa Rais wa JMT. Sifa hizo Mzee Wassira anazo
 
Makamu Mwenyekit ana majukum gani yanayohitaj nguvu?

Makamu Mwenyekit anahitaj kukijua chama ikiwemo kanuni na taratibu zake.

Makamu Mwenyekit anahitaj kuwa na busara.
Makam Mwenyekit wa chama dola anahitaj uelewa kuhusu serikali na taasisi zake.

Lakin pia makamu Mwenyekit anahitaj kulijua bunge na taratibu zake.

Sifa ipi unadhani Mzee Wassira Hana?

Mtu wa miaka 50 ,au 60 ni mtu mzima vya kutosha sasa ndo walete mwenye miaka 80 Kikongwe dhoofu bin hali?
 
Of all the people ndani ya chama cha mapinduzi eti CCM wanamleta Stephen Wassira. Mzee wa miaka 80 eti awe ndiyo makamu mwenyekiti wa chama hicho. Hili ni jambo la kustaajabisha sana kwa viwango vyovyote vile. Na hii ni kwa sababu zifuatazo.

1. Tulitegemea CCM ijifunze kwa Kujiuzulu Kinana.

Kinana aliyekuwa ni makamu mwenyekiti wa CCM mara kibao alisikika akisema kuwa amechoka anaomba apumzike. Kinana yeye ana miaka 74, Huku Stephen Wassira ana miaka 80. Katika hali ya kawaida tulitegemea CCM ijiulize mara mbilimbili kuwa kama huyu mwenye 74 anaona kazi inamuelemea (kwa changamoto za mambo mengi zikiwemo za uzee), Je huyu wa miaka 80 ana nafuu gani kumshinda mdogo wake wa miaka 74?.

2. Mzee siyo kweli kuwa yuko fit kiafya

Mzee Wassira anaishi Mbweni, watu wanazijua changamoto zake za kiumri, ikiwemo hata kufanya mazoezi kwa kusaidiwa. Kwa nini CCM isilione hili?. Huyu mzee anayehitaji utulivu ili angalau aweze kutumia nguvu zake ndogo uzeeni, kwa nini CCM inakuwa na ubinafsi kiasi hiki, haionei huruma wazee, kwa nini isimuache mzee wa watu kupumzika?

3. Yumkini CCM imepungukiwa na pool ya watu wenye uwezo.

Mzee Wassira ni mtu aliyehudumu katika chama na serikali tangu miaka ya 1970's wakati huo Rais ni Nyerere, na wakati huo Makongoro Nyerere akiwa shule ya Sekondari. Mtu kama huyu ana kipya gani kwa CCM ya sasa na ana mawazo gani ya kuendana na nyakati za sasa. Hili jambo linatupa ishara moja, kuwa CCM ya sasa haina watu wenye gravita kubwa ya kisiasa, wenye uwezo na kwa hiyo inaenda kukopa kwa watu wa zamani wa enzi za Nyerere. Hii ni aibu na fedheha kwa CCM ya hivi karibuni kushindwa kutengeneza viongozi. Ukianhalia safu za makada wa CCM walio wengi ni wepesiii hakuna manguli wa kisiasa.

4. Huenda Samia anataka aendelee na mazungumzo na Upinzani anadhani Wassira atamsaidia.

Ni kweli, katika watu ndani ya CCM waliokuwa na Intellectual prowess (uwezo mkubwa wa kiakili) wa kudeal na Wapinzani na kwenda nao hoja kwa hoja ni Wassira. Kwa hiyo kama mazungumzo ya maridhiano yatahuishwa, Wassira ndo atachukua nafasi ya Kinana ktk mazungumzo hayo. Nadhani ni matumaini ya Samia kufikiri kuwa Wassira ataweza. Hata hivyo Samia amesahau kuwa Wassira wa sasa, siyo Wassira wa enzi za Jakaya miaka 10 iliyopita. Huyu wa sasa ni mzee sana. Na ukizeeka sana hata akili inaslow.

5. Ni kudhihaki waasisi wa CCM waliohudumu na kuamua kung'atuka uongozi wa chama ili chama kipate uelekeo mpya.

Kawawa alistaafu siasa za CCM akiwa na umri mdogo tu kulinganisha na Wassira, akiwa chini ya miaka 70. Nyerere akaacha siasa za uongozi wa CCM mwaka 1990 akiwa na miaka 68 (Wakati huo kofia za mwenyekiti na rais zilikuwa tofauti). Sasa huyu mzee wa miaka 80 wa nini, alete nini?

6. Mwenyekiti wa CCM haonyeshi umakini kwenye kuunda timu za kumsaidia kazi.

Hili limedhihirika katika teuzi anazozifanya kama rais, teua tengua zisizoisha, recycling isiyoisha, na sasa amefanya kituko cha karne kwa kumleta mtu wa mwaka 45 ili eti awe makamo wake. Inashangaza sana!
Unadhani wangempa nani?
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM ni tofauti na makamu wenyeviti wa vyama vingine. Anatakiwa kuwa mtu mzima mwenye busara na hekima KUBWA. Pamoja na mambo mengine ndio atakuwa msaidizi na mshauri Mkuu si tu wa Mwenyekiti wa CCM bali wa Rais wa JMT. Sifa hizo Mzee Wassira anazo
Kwa ccm makamu ni garasa tu hana kazi yoyote. Ni ceremonial post.

Ndio maana wanapachika yeyote awe na sifa au kachoka sawa tu.
 
Sasa si ndo vizuri ili nyie CHADEMA ya vijana wadogo kina Ntobi muweze kuishinda CCM inayoongozwa na wazee?
 
Back
Top Bottom