AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
shangaa sasa yeye wala hana time nae...wao si waliendekeza bangi na ulevi wacha wafulie tu
Mwenyewe alikanusha taarifa hizo kua alimponda Diamonf
We unauhakika gani ndio daimondi katajwa au upo kwenye mwendelezo?ile ni ushairi tuu ila huu mtazamo wangu tuu.
Nadhani ni kama wanavyoendekeza wanawake na kujisifia kusiko na ukweli. Ngoja tuone baada ya miaka 3 kutoka leo kama wataendelea kuwa hawa hawa tunaowasikia leo, kwangu mimi wanapita mule mule walimopita watangulizi wao, hawana jipya!
mkuu huyu diamond ni miongoni mwa wanamuziki wenye discipline ya hali ya juu katika maisha!hapo alipo hajafika kwa kubahatisha ila ni juhudi,kujituma na heshima kwa kazi yake na wanaomzunguka!nna uhakika watu wengi wanaomchukia diamond hawajabahatika kukaa nae na kumsoma fresh
Mkuu hebu tusiandikie mate, tafuta huo wimbo usikie mwenyewe.
mkuu huyu diamond ni miongoni mwa wanamuziki wenye discipline ya hali ya juu katika maisha!hapo alipo hajafika kwa kubahatisha ila ni juhudi,kujituma na heshima kwa kazi yake na wanaomzunguka!nna uhakika watu wengi wanaomchukia diamond hawajabahatika kukaa nae na kumsoma fresh
It aint good if they aint hating... Nimekuja kugundua hilooo
shangaa sasa yeye wala hana time nae...wao si waliendekeza bangi na ulevi wacha wafulie tu
Mkuu hebu tusiandikie mate, tafuta huo wimbo usikie mwenyewe.