Ila watu wagumu kuelewa bwana,au mleta uzi umeamua kutengeneza bifu ya kulazimisha ili upate coments za kutosha? dada Mond ni sawa na diamond? kuwa na akili,kwani unawajua wasanii wote ww? kwa taarifa yako hamzungumzi huzo mtu,hata mie namkubali sn ngololo but jina lake c dada mond ni diamond.
So kupaza sauti kama hiv sio.