Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Mbunge wa Jimbo la Butiama, Jumanne Sagini siku chache zilizopita alikaribisha kikundi cha waendesha baiskeli kinachoitwa TWENDE BUTIAMA.
Soma pia: Sagini: Wenye vikundi muandae miradi itayowawezesha kukopa pesa ndefu nawapigia debe
Kikundi hiki kiljumuisha waendesha baiskeli 84 kutoka mikoa 12 Tanzania Bara na visiwani, pamoja na washiriki kutoka nchi za Kenya, Burundi, Congo, Rwanda, Malawi, na Japan. Tukio hili lilifanyika Oktoba 13, 2024.
Naomba kuuliza, hizi ndo mbwembwe za kuelekea kwenye uchaguzi mkuu au ni kawaida yake?
Nawasilisha!
Mbunge wa Jimbo la Butiama, Jumanne Sagini siku chache zilizopita alikaribisha kikundi cha waendesha baiskeli kinachoitwa TWENDE BUTIAMA.
Soma pia: Sagini: Wenye vikundi muandae miradi itayowawezesha kukopa pesa ndefu nawapigia debe
Kikundi hiki kiljumuisha waendesha baiskeli 84 kutoka mikoa 12 Tanzania Bara na visiwani, pamoja na washiriki kutoka nchi za Kenya, Burundi, Congo, Rwanda, Malawi, na Japan. Tukio hili lilifanyika Oktoba 13, 2024.
Naomba kuuliza, hizi ndo mbwembwe za kuelekea kwenye uchaguzi mkuu au ni kawaida yake?
Nawasilisha!