Kitendo cha mchezaji wa Yanga Bernad Morrison kutolewa nje kwa substitutions na yeye kuamua kutoka nje ya uwanja maana yake nini?

Kitendo cha mchezaji wa Yanga Bernad Morrison kutolewa nje kwa substitutions na yeye kuamua kutoka nje ya uwanja maana yake nini?

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
Kitendo cha mchezaji wa Yanga Bernad Morrison kutolewa nje kwa substitutions na yeye kuamua kutoka nje ya uwanja na hatimaye kuchukua bodoboda na kutokomea kusikojulikana. Tafsiri yake ni nini katika Soka na anastahili kupewa adhabu ganišŸ¤·šŸ¾ā€ā™‚ļø?
 
Utovu wa nidhamu na dharau.haiwezekani kabisa
 
Mimi ni shabiki nguli wa Yanga lakini ukweli ni kwamba Morrison ni mkubwa kuliko timu yetu kwa sasa, tutamramba miguu tena na maisha yataendelea.

Daima mbele
 
Kitendo cha mchezaji wa Yanga Bernad Morrison kutolewa nje kwa Substitutions na yeye kuamua kutoka nje ya uwanja na hatimaye kuchukua bodoboda na kutokomea kusikojulikana. Tafsiri yake ni nini katika Soka na anastahili kupewa adhabu ganišŸ¤·šŸ¾ā€ā™‚ļø?

Maana yake ni kama hizi zifuatazo Mkuu...

1. Ameshawaona wana Yanga ni Wapuuzi
2. Ameshawaona wana Yanga ni Wajinga
3. Ameshawaona wana Yanga ni Wapumbavu
4. Ameshawaona wana Yanga ni Majuha
5. Ameshawaona wana Yanga ni wa Hovyo Hovyo
6. Ameshawaona wana Yanga ni Matahaira
7. Ameshawaona wana Yanga ni Utopolo kabisa

Adhabu pekee na nzuri kabisa anayotakiwa kupewa na nina Uhakika kuwa itamnyoosha na atakoma ni Yeye kuruhusiwa kwenda Simba au Azam.
 
Maana yake ni kama hizi zifuatazo Mkuu...

1. Ameshawaona wana Yanga ni Wapuuzi
2. Ameshawaona wana Yanga ni Wajinga
3. Ameshawaona wana Yanga ni Wapumbavu
4. Ameshawaona wana Yanga ni Majuha
5. Ameshawaona wana Yanga ni wa Hovyo Hovyo
6. Ameshawaona wana Yanga ni Matahaira
7. Ameshawaona wana Yanga ni Utopolo kabisa

Adhabu pekee na nzuri kabisa anayotakiwa kupewa na nina Uhakika kuwa itamnyoosha na atakoma ni Yeye kuruhusiwa kwenda Simba au Azam.

Pamoja kaka
 
Utoporo fc a.k.a omba omba fc mngekuwa na jeuri mngetimua au kupiga benchi hadi mkataba uishe, ila kwa kuwa ndo Mungu wenu mtamuomba msamaha na mechi ijayo atacheza tena
 
Yanga wanamuhitaji MORRISON
morrison HANA SHIDA NA YANGA..
watakao umia ni yanga.
Morrison HANA CHA KUPOTEZA
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom