Kitendo cha Mwakalebela kuita waandishi na kulalamika ni Ushamba

Mechi za CAF za simba zinahusiana vipi na Muenendo wa Yanga SC?

Kwamba Simba wakifungwa na Al Ahly na Al Merekh points zake kwenye msimamo wa ligikuu zitapungua? SIJAKUSOMA.
wakumbushe wanaingia jioni wakawapokee, mwaka mashabiki wa utopolo watakufa kwa pressure halafu Tanzania tutaambiwa tuna wagonjwa wengi wa corona kwa sababu matokeo wanayotegemea Simba kupata kwenye michuano ya mabingwa Afrika yanakuja tofauti huku wao kwenye ligi wanazidi kuvurunda
 
Timu yenu haina tofauti na timu ya ndondo kuhusu ubingwa sahauni kwani Mnyama break imekatika kila atakayejitokeza ni kichapo na tutatangaza ubingwa bado mechi tatu na kama tungecheza na nyie mapema tungetangaza bado mechi tano.
 

Kwahivyo mnataka hata mpira wa kurusha refa afunike iwe penalty, huu msuba hata kutoka Bangladesh una afadhali.

Kama ingekuwa hivyo mnavyowaza mngekuwa mpo kileleni nyie Uto..Au tuanze kuhesabu namna mlivyobebwa?
 
Umeanza vizuri umemaliza kitopolo
 
Kibaya zaidi kaongelea kama Yanga haitafaidika na maamuzi ya referee uwanjani. What if Mwamnyeto kaunawa kwenye 18? What if Nchimbi kabaki na kipa kapaisha? Vip kama Mauya akapigana na mtu alafu apewe umeme? Yote hayo hajayasema wakati yanaweza kutokea. Hata timu mnayocheza nayo ina haki ya kulalamika against maamuzi mabovu kama haya.

Anyway Gomeeni Ligi Alafu tuone mtaishije na Kina Sarpong wenu. Tuone mtapata wap pesa ya kumlipa Tambwe😂😂😂 Alafu tuone kama mkigoma ligi itasimama kwa ajili yenu au Lah.

Ligi ikisimama kwa ajili yenu nyie mtakua virusi vya Corona, ikiendelea sisi tutakua tumepuuzia virusi vya Corona 😂😂😂

Uto katika ubora wenu
 
Wewe inabidi nikutaftie kamba leoleo😂😂😂 Kwa nini uteseke wakati unaweza kupumzika milele😂😂😂
 
Mimi pia ni yanga lakini kwa huo upuuzi nimesikitika sana
 
Pona pona ya yanga kurudi kwenye mstari ni sisi labda tupigwe 5 na wale waarabu hapa nyumbani lakini tukitoa draw au kushinda uto lazima wajitoe kwenye ligi kweli kama walivyo sema.yaani tume wa athiri ki saikolojia kweli na sasa tuna jionea wenyewe.
Na 5 mtapigwa kweli lakini hiyo haotaisaidia yanga kabisa
 
Mwana yanga mwenzangu hoja sio mwakalebela ana elimu gani,lakini hayo aliyosema yanalingana na hiyo elimu yake?
 
Sie wenyewe tunaangalia mpira mkuu, tuna macho na akili timamu
Sasa inakuwaje, kila YANGA, ikianza kuchechemea ambacho kwenye mpira ni kitu cha kawaida tu,viongozi wenu wanaanza kuhamisha goli(kuja na hoja za kipuuzi)ili kukwepa wanachama/washabiki wasiwajie juu?kutaka kujua nini kinaendelea??kuna kipindi ilianza hivi wakaja na hoja ya MORISON!!
 
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Mwisho ungetoa solution la waamuzi nngekuunga mkono, kumbuka ni kweli Yanga wamenyimwa penalty mbeya na taifa
 
Kesho refa anapigwa kabisa, wanajitafutia sababu ya kushushwa daraja
 
Wala hakuongea,na ukiangalia rwkodi za caf hakuna kesi ya yanga,na hao waandishi mazuzu hiki swali hawakumuuliza
Hatuna waandishi tuna maripota ambao wanaandika kile wanachoambiwa, hivi waandishi wameshindwa kufatilia kujua kama kesi ya Morison ipo au haipo halafu mtu anayewaita kila siku anakuja na hadithi mpya wanashindwa hata kumhoji juu ya kesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…