Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiwaharibie na washatolewa? Uswahili maviKabla ya mchezo baina ya Simba na Orlando Pirates Simba walifanya kituko cha kuwasha moto na kuweka duara kwa kuzunguka ule moto. Je hiki kituko hakitawaharibia?.
Caf ni wenzetu tumezoeana nao kwa kua tunakutana mara kwa mara huko ucafuni nyie mnabebwa na TFF kwa kua ndio inayosimamia ligi yenu ya mbuzi huko uswahiliniCaf huwa wanawabeba sana makolo kwenye matukio ya hovyo kama haya.
Caf huwa wanawabeba sana makolo kwenye matukio ya hovyo kama haya.
Simba nae SI yupo kwenye hiyo ligi ?Caf ni wenzetu tumezoeana nao kwa kua tunakutana mara kwa mara huko ucafuni nyie mnabebwa na TFF kwa kua ndio inayosimamia ligi yenu ya mbuzi huko uswahilini
Hamuwezi kubishana na timu ya ki-diaspora
Teh teh teh teh..😂😂😂..umetisha aisee.Caf ni wenzetu tumezoeana nao kwa kua tunakutana mara kwa mara huko ucafuni nyie mnabebwa na TFF kwa kua ndio inayosimamia ligi yenu ya mbuzi huko uswahilini
Hamuwezi kubishana na timu ya ki-diaspora
Kiwaharibie wapi?Kabla ya mchezo baina ya Simba na Orlando Pirates Simba walifanya kituko cha kuwasha moto na kuweka duara kwa kuzunguka ule moto.
Je, hiki kituko hakitawaharibia?.
Kuna uwezekano hawa jamaa wakatozwa faini. Maana Shirikisho la mpira wa miguu la Afrika ya Kusini limedhamiria kuwashtaki CAF kwa vitendo vyao vya kichawi uwanjani.Imagine ule uchawi walipanda nao kwenye ndege!..cjui nani aliubeba? Isije kuwa Matola.
Mnakutana kwa waganga?Caf ni wenzetu tumezoeana nao kwa kua tunakutana mara kwa mara huko ucafuni nyie mnabebwa na TFF kwa kua ndio inayosimamia ligi yenu ya mbuzi huko uswahilini
Hamuwezi kubishana na timu ya ki-diaspora
Matola ndo kigagula chenyewe [emoji1][emoji1]Imagine ule uchawi walipanda nao kwenye ndege!..cjui nani aliubeba? Isije kuwa Matola.
Washaandika barua kwa CAFKuna uwezekano hawa jamaa wakatozwa faini. Maana Shirikisho la mpira wa miguu la Afrika ya Kusini limedhamiria kuwashtaki CAF kwa vitendo vyao vya kichawi uwanjani.
Kwaiyo wakaona vema kumtanguliza Mungu kwa dua, wametisha😂😅Ule Ulikuwa UBANI kwa Ajili Ya Dua.... Simba ni Watu Wa Mungu sana.
Yupo ila anaishiriki kama chaguo oa pili baada ya kulamba takribani bilioni 3 za robo fainali sasa anarudi kujifanya anafanana nao na mbea wao wa timu naskia ameshawaambia eti hiyo mechi ya mbuzi ya tar 30 eti ni dabi!! Kamwambie sisi Caf anatutafutia dabi ya kiafrika kati ya kaizer, orlando , beroane ama al ahliSimba nae SI yupo kwenye hiyo ligi ?