Huyu na Polepole walitajirika sana kwenye ule mradi haramu wa kununua wapinzani uchwara. Eti yule mlevi mbwa Waitara alinunuliwa kwa m350,yeye akapewa m50 na ubunge 300 iliyobaki wahuni wakapiga pasu.
Demokrasia ni vitendo sio idadi ya nyama!. Wakati wa Magufuli na huyu jinamizi hatukuwa na demokrasia. Upinzani hawawezi kuiba pesa wakati hawako kwenye uongozi!