Kitenge na Shaffii huangalia mambo kwa jicho la Njaa Kali

Kitenge na Shaffii huangalia mambo kwa jicho la Njaa Kali

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
aa89df3a276f43f08db7099ea7f5b60e_313038705_523274735935800_5249231044209367779_n.jpg

Original post and source
Screenshot_20221029-080649_Chrome Beta.jpg

Shaffii source yake ikiwa hiyo ya juu.

My Take
Naelewa tatizo sio lugha ila ni kufikiria mambo katika mlengo wa njaa. Yaani inaanza njaa baadae ndio unafikiria.

Dauda na Kitenge nyie ni wazee sasa. Lindeni heshima kidogo mliyokuwa nao. Hizi nafasi kubwa wanazipata kina Barbra na Hersi zingepaswa kuwa zenu, ila kwa sababu ya kuendekeza njaa na kujipendekeza mnajikuta machawa wa watoto wa juzi.
 
Hapo Shaffi ameshindwa kuelewa lugha ya malkia. Hajui hiyo lugha, hata ukimsikiliza akiwa anaongea kingereza chake cha shule ya Azania ni kibovu.

Mchambuzi pekee niliemsikia anaongea kiingereza safi fluent ni Jeff Leah tu. Halaf kuna wale madogo Hashim Ibwe wa Azam na Ahmed Abdallah wa Wasafi fm nao wanaongea kiingereza kizuri.

Wengine wanaunga unga tu kwa mfano Gift Macha ni aibu hadi anatia huruma.
 
Acha tu ni huzuni sana. Shaffih kapita nalo, Kitenge kaishi nalo, Haji kawathibitishia Utopolo ni shangwe na vifijo
 
View attachment 2401974
Original post and source
View attachment 2401976
Shaffii source yake ikiwa hiyo ya juu.

My Take
Naelewa tatizo sio lugha ila ni kufikiria mambo katika mlengo wa njaa. Yaani inaanza njaa baadae ndio unafikiria.

Dauda na Kitenge nyie ni wazee sasa. Lindeni heshima kidogo mliyokuwa nao. Hizi nafasi kubwa wanazipata kina Barbra na Hersi zingepaswa kuwa zenu,ila kwa sababu ya kuendekeza njaa na kujipendekeza mnajikuta machawa wa watoto wa juzi.
Kuna kipindi fulani hata wewe usilishawahi leta uzi humu na chanzo ikawa hiyo page
 
Hata wajinga wenye influence kwenye jamii wapo chukulieni poa tu
 
Hapo Shaffi ameshindwa kuelewa lugha ya malkia. Hajui hiyo lugha, hata ukimsikiliza akiwa anaongea kingereza chake cha shule ya Azania ni kibovu.
Mchambuzi pekee niliemsikia anaongea kiingereza safi fluent ni Jeff Leah tu. Halaf kuna wale madogo Hashim Ibwe wa Azam na Ahmed Abdallah wa Wasafi fm nao wanaongea kiingereza kizuri.
Wengine wanaunga unga tu kwa mfano Gift Macha ni aibu hadi anatia huruma.
Shafih dauda na alex lwambano wale kimalikia kimewapitia kushoto
 
Back
Top Bottom