Kitenge: Ni ngumu Simba kupata point kwenye mechi zilizobakia

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
“Biashara ya Simba ishakuwa ngumu msimu huu, Ni ngumu kwa Simba kuvuna alama tatu kwa mechi zilizobaki kutokana na kufanya vibaya uwanjani mara kwa mara” - @nasrikhalfan_
@sportsarena88.9
@kivumbisokalanyumbani

Je unakubaliana na hili???
 
Siyo kweli kwani point za Kwanza walizipataje?
 
Mechi ngumu ni Namungo na ndugu Yao Azam na nasikia Simba wanataka Kutumia nafasi hii kumfanya fei top scorer (watampa 3 kama Tabora(rage fc)walivyofanya )
 
Timu ya simba ina viongozi mbumbumbu! Na pia inaendeshwa kienyeji sana.

Yaani katika mazingira haya magumu inayopitia, huku ikiwa na kikosi kisicho na rotation ya wachezaji; bado wanakubali eti kwenda kushiriki kombe la muungano wa nini sijui!! Wameshindwa kujifunza kwa Yanga aliyekataa kwenda kupoteza muda kwenye hilo bonanza!

Wasipoangalia, nafasi ya tatu itawahusu msimu huu.
 
Mechi ngumu ni Namungo na ndugu Yao Azam na nasikia Simba wanataka Kutumia nafasi hii kumfanya fei top scorer (watampa 3 kama Tabora(rage fc)walivyofanya )
As long as tumewakanda....no problem
 
Ni Mbu Mbu mbu according rage
 
Haya ni ukweli mtupu iwapo Inonga atakuwa sehemu ya kikosi.

Inonga alishalipwa na upande wa pili ili aiumize timu na anampango kazi wa kutekeleza hayo.

Kama hawawezi kuwaamini vijana wengine basi huu ndio mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…