TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
Wanazengo Embu tulieni kwanza
Kuna siku nimekosa kula tunda kwasababu yakitete kitete kibaya jamani yani nilionekana kituko Haaaa Yani kuingia kwenye 18 tu mapigo ya Moyo yanakwenda kasi Kama TK master
Babu naekalala ile yenyewe niliumbuka mm wanazengo next day tunda nikalimega saaafi kabisa...
Sasa huku mtu kakosa kula uwaziri aisee haya maisha bwana tumuombe Mungu kila wakati utupe kheri......
Embu jaribu kuvaa viatu vya MH: Ndulane Dah mtu anaelimu nzuri Kapita MZUMBE , IFM experience yakutosha.
Bungeni kala kiapo lkn and of the day anakuja kula mwereka kwenye Unaibu Waziri naamini ilikua ndoto yake....
MH: Raisi Kama utafungua huu uzi naomba ukaenae chini upate kahawa Story mbili tatu umtie Moyo then umepe last chance naamini atakula kiapo saafi tu.
Naaamini hili tukio limeweka kidonda ndani yake mwisho wasiku litakua Kovu.
Uzi tayri
Smart911 Bujibuji
Mshana Jr
Kuna siku nimekosa kula tunda kwasababu yakitete kitete kibaya jamani yani nilionekana kituko Haaaa Yani kuingia kwenye 18 tu mapigo ya Moyo yanakwenda kasi Kama TK master
Babu naekalala ile yenyewe niliumbuka mm wanazengo next day tunda nikalimega saaafi kabisa...
Sasa huku mtu kakosa kula uwaziri aisee haya maisha bwana tumuombe Mungu kila wakati utupe kheri......
Embu jaribu kuvaa viatu vya MH: Ndulane Dah mtu anaelimu nzuri Kapita MZUMBE , IFM experience yakutosha.
Bungeni kala kiapo lkn and of the day anakuja kula mwereka kwenye Unaibu Waziri naamini ilikua ndoto yake....
MH: Raisi Kama utafungua huu uzi naomba ukaenae chini upate kahawa Story mbili tatu umtie Moyo then umepe last chance naamini atakula kiapo saafi tu.
Naaamini hili tukio limeweka kidonda ndani yake mwisho wasiku litakua Kovu.
Uzi tayri
Smart911 Bujibuji
Mshana Jr