Kitete kilikukuta wapi nakulikua natukio gani mbele yako

Kitete kilikukuta wapi nakulikua natukio gani mbele yako

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,399
Reaction score
8,594
Wanazengo Embu tulieni kwanza

Kuna siku nimekosa kula tunda kwasababu yakitete kitete kibaya jamani yani nilionekana kituko Haaaa Yani kuingia kwenye 18 tu mapigo ya Moyo yanakwenda kasi Kama TK master

Babu naekalala ile yenyewe niliumbuka mm wanazengo next day tunda nikalimega saaafi kabisa...

Sasa huku mtu kakosa kula uwaziri aisee haya maisha bwana tumuombe Mungu kila wakati utupe kheri......

Embu jaribu kuvaa viatu vya MH: Ndulane Dah mtu anaelimu nzuri Kapita MZUMBE , IFM experience yakutosha.

Bungeni kala kiapo lkn and of the day anakuja kula mwereka kwenye Unaibu Waziri naamini ilikua ndoto yake....

MH: Raisi Kama utafungua huu uzi naomba ukaenae chini upate kahawa Story mbili tatu umtie Moyo then umepe last chance naamini atakula kiapo saafi tu.

Naaamini hili tukio limeweka kidonda ndani yake mwisho wasiku litakua Kovu.

Uzi tayri

Smart911 Bujibuji
Mshana Jr
 
Siku ya kufanya usahili wa ana kwa ana

Siku ya kufanya mtihani wa taifa zimebaki dakika chache tu mtihani uishe
 
Siku ya kufanya usahili wa ana kwa ana

Siku ya kufanya mtihani wa taifa zimebaki dakika chache tu mtihani uishe
Hiyo ya mtihani iliwahi kunitokea o level nilikuwa mkali sana wa Book Keeping. Sasa ikatokea swali la mwisho muda umebaki mchache namalizia naona balance sheet imegoma nikajikuta napiga mshindo (wakubwa wameelewa)
 
Mwaka 2001 wakati nafanya usahili wa tpdf nikiwa na umri wa miaka 16 nilivuliwa nguo zote aisee ilikuwa hatari sana.....
 
Hiyo ya mtihani iliwahi kunitokea o level nilikuwa mkali sana wa Book Keeping. Sasa ikatokea swali la mwisho muda umebaki mchache namalizia naona balance sheet imegoma nikajikuta napiga mshindo (wakubwa wameelewa)
Daaah pole masta, ishanikuta pia aisee
 
Back
Top Bottom