Texas Tiger
JF-Expert Member
- Nov 5, 2022
- 483
- 1,100
Tembo ana kasi zaidi yako. 40km/h si mchezo. Usain Bolt amemzidi African Bush Elephant kidogo tu 44km/h.Nasikia hata hivyo unadakwa tu… Hii Story nilipataga huko Tunduru. Kule kuna majanga ya tembo sana
Na ukute hiyo 44km/h ya Bolt hawezi kimbia at that pace for more than 20 seconds.. Tembo unakuta anakata hizo 40km/h hata kwa dakika kumi straightTembo ana kasi zaidi ya binadamu. 40km/h si mchezo. Usain Bolt amemzidi African Bush Elephant kidogo tu 44km/h.
HahahUnazijua zile mashine za kusaga za diesel. Zile zikiwashwa nasikia hakai tena hapo lazima asepe.. Sasa kwenye kukimbia ndio ukutane nae hapo balaa unalo
Hahah Ngiri anakimbia hadi anatimua vumbi 😂😂 ila mimi naonaga.kama akili zao hazipo sawa, maana anaweza kuamua kukimbia tu alafu ghafla anasimama 😂Dah basi kumbe namchukulia poa, kuna nguruwe pori.... huyu mnyama ndio namuona balaa ana mbio huyo angekua ni binadamu basi ni mwanariadha kutoka Kenya 🤣
NimechekaHahah Ngiri anakimbia hadi anatimua vumbi 😂😂 ila mimi naonaga.kama akili zao hazipo sawa, maana anaweza kuamua kukimbia tu alafu ghafla anasimama 😂
Hivi lile vumbi huwa linatoka wapi kweli, yani watakimbia kundi la swala, pundamilia hakuna vumbi....ila yeye vumbi linatimka 🤣🤣🤣 nahisi kama ni njia ya kumkabili aduiHahah Ngiri anakimbia hadi anatimua vumbi 😂😂 ila mimi naonaga.kama akili zao hazipo sawa, maana anaweza kuamua kukimbia tu alafu ghafla anasimama 😂
Itakua kachanganya Tembo na KifaruNasikia hata hivyo unadakwa tu… Hii Story nilipataga huko Tunduru. Kule kuna majanga ya tembo sana
basi tu ilimradi vurugu 😂Hivi lile vumbi huwa linatoka wapi kweli, yani watakimbia kundi la swala, pundamilia hakuna vumbi....ila yeye vumbi linatimka 🤣🤣🤣 nahisi kama ni njia ya kumkabili adui
Yani anavyosimama kama vile sio yeye aliyeanzisha mbioNimecheka
😂😂😂 Nimecheka sio kitotoNa uwe unapandika huo mti.. Bila hivo kimbilia upepo unapoelekea alafu zigzags.. Kuna mwalimu alikua na pikipiki (Rajoot) uko dodoma vijijini akakuta tembo wamefukuzwa wanahasira ikabidi wamuungie. Sasa akaongeza gia anaona jamaa wapo tu nyuma hadi akasimamia pikipiki🤣.. Alivoona bado wapo akaachia pikipiki akakimbia kwa miguu.. Hasira za tembo ziiishia kwenye pikipiki Rajoot
Mi hiyo ya 2017 siijui,UDOM haijaanza 2017 mpaka sasa ipo piahii imekaa kama uongo mwaka ambao tembo walikuja UDOM ilikuwa 2017 kama sikosei ila hawakudhuru mtu zaid na zaid mali asili walikuja wakawatoa nilikuwa last year HUMANITIES
siwapendagi watu wanaojifanya wajuaji,,, wanakera sanaMi hiyo ya 2017 siijui,UDOM haijaanza 2017 mpaka sasa ipo pia
Na pia ile ni eneo lao wala hawajaanza kupita hiyo 2017
Anakimbia sana labda Hussein Bolt ndio atamshinda Tembo...hizi mbio zetu ni ngumu mno ...Nasikia tembo anakimbia sana.. Wanasema ukikimbizana na tembo humalizi hata mita 20 amekudaka
Yule ni Zero brain...namkubali sana mikasa yake!!Hahah Ngiri anakimbia hadi anatimua vumbi 😂😂 ila mimi naonaga.kama akili zao hazipo sawa, maana anaweza kuamua kukimbia tu alafu ghafla anasimama 😂