kithembe kinasababishwa na nn? na tiba yake ni ip?

kithembe kinasababishwa na nn? na tiba yake ni ip?

KIPARE...usipende sana kuongea au kipare...thamaki ,thimu, thahani...nk.
 
KIPARE...usipende sana kuongea kipare...thamaki ,thimu, thahani...nk.
 
ni matatizo ya kimaumbile,hakuna tiba juu ya hili tatizo..!
Japokuwa kwa wengine usista duu ndio chanzo/sababu za hili tatizo,kwa hawa dawa yao ni viboko tu!
 
dawa kubwa ya kithembe ni mwenye nacho kuwa makini anapotamka maneno yenye s na z, ajitahidi kujirekebisha baada ya muda kitapungua na baadae kitakoweka, ushahidi ninao. me nakipenda I wish ningezaliwa nacho kisingenisumbua, kama ninvyopenda dimples
 
dawa kubwa ya kithembe ni mwenye nacho kuwa makini anapotamka maneno yenye s na z, ajitahidi kujirekebisha baada ya muda kitapungua na baadae kitakoweka, ushahidi ninao. me nakipenda I wish ningezaliwa nacho kisingenisumbua, kama ninvyopenda dimples
Niko na wewe kitongoji. Kwangu mie kama msichana ana kithembe halafu anakijua kiingereza, nampenda karibia kufa, Yaani pale akisema 'Yeth I thii! nakufa kwa maraha!
 
Nitajaribu kueleza kwa ufupi: ni kuwa Ulimi una muscles na kuna baadhi ya watu hizo muscles zinakuwa zimelegea hivyo unapotakiwa kusema "s" ambavyo kikawaida ulimi unatakiwa kuwa ndani yaani utauma meno na ulimi kubaki ndani halafu utakuwa juu ya "fizi" lakini kwa mtu mwenye matatizo ya "S" basi ulimi utasukuma meno na kutoka nje hivyo badala ya "s" utamka "th". (Ila si kwa wote kwani kuna baadhi ya makabila hawana "s" hivyo wana th")

Matibabu yapo hii ni kufanya speech therapy ili kufanya ulimi huwe strong hii ni pamoja na kufanyia ulimi mazoezi mara kwa mara kama jinsi ya kula, kunywa,ulimi kukaa juu ya fizi na nk.. na kama alivyosema mdau hapo juu, mtu mwenye hilo tatizo kuchukua tahadhali unapotamka neno "S".
Kwa watoto hii therapy inaweza kuchukua miezi 2 au zaidi lakini kweli tatizo linaisha. ..

NB: Kwa Tanzania sijui kama wanatoa huduma hii.
 
U
Nitajaribu kueleza kwa ufupi: ni kuwa Ulimi una muscles na kuna baadhi ya watu hizo muscles zinakuwa zimelegea hivyo unapotakiwa kusema "s" ambavyo kikawaida ulimi unatakiwa kuwa ndani yaani utauma meno na ulimi kubaki ndani halafu utakuwa juu ya "fizi" lakini kwa mtu mwenye matatizo ya "S" basi ulimi utasukuma meno na kutoka nje hivyo badala ya "s" utamka "th". (Ila si kwa wote kwani kuna baadhi ya makabila hawana "s" hivyo wana th")

Matibabu yapo hii ni kufanya speech therapy ili kufanya ulimi huwe strong hii ni pamoja na kufanyia ulimi mazoezi mara kwa mara kama jinsi ya kula, kunywa,ulimi kukaa juu ya fizi na nk.. na kama alivyosema mdau hapo juu, mtu mwenye hilo tatizo kuchukua tahadhali unapotamka neno "S".
Kwa watoto hii therapy inaweza kuchukua miezi 2 au zaidi lakini kweli tatizo linaisha. ..

NB: Kwa Tanzania sijui kama wanatoa huduma hii.
Umejitahidi kufafanua lakini naomba nikurekebishe kidogo. Katatika maelezo yako , huwa hatuna neno S,wala Z. Hizi ni herufi au konsonanti au sauti,au vitamkwa.
 
Nitajaribu kueleza kwa ufupi: ni kuwa Ulimi una muscles na kuna baadhi ya watu hizo muscles zinakuwa zimelegea hivyo unapotakiwa kusema "s" ambavyo kikawaida ulimi unatakiwa kuwa ndani yaani utauma meno na ulimi kubaki ndani halafu utakuwa juu ya "fizi" lakini kwa mtu mwenye matatizo ya "S" basi ulimi utasukuma meno na kutoka nje hivyo badala ya "s" utamka "th". (Ila si kwa wote kwani kuna baadhi ya makabila hawana "s" hivyo wana th")

Matibabu yapo hii ni kufanya speech therapy ili kufanya ulimi huwe strong hii ni pamoja na kufanyia ulimi mazoezi mara kwa mara kama jinsi ya kula, kunywa,ulimi kukaa juu ya fizi na nk.. na kama alivyosema mdau hapo juu, mtu mwenye hilo tatizo kuchukua tahadhali unapotamka neno "S".
Kwa watoto hii therapy inaweza kuchukua miezi 2 au zaidi lakini kweli tatizo linaisha. ..

NB: Kwa Tanzania sijui kama wanatoa huduma hii.
Wewe mwenyewe una kihumbe ..kwenye U unaandika HU
 
Nitajaribu kueleza kwa ufupi: ni kuwa Ulimi una muscles na kuna baadhi ya watu hizo muscles zinakuwa zimelegea hivyo unapotakiwa kusema "s" ambavyo kikawaida ulimi unatakiwa kuwa ndani yaani utauma meno na ulimi kubaki ndani halafu utakuwa juu ya "fizi" lakini kwa mtu mwenye matatizo ya "S" basi ulimi utasukuma meno na kutoka nje hivyo badala ya "s" utamka "th". (Ila si kwa wote kwani kuna baadhi ya makabila hawana "s" hivyo wana th")

Matibabu yapo hii ni kufanya speech therapy ili kufanya ulimi huwe strong hii ni pamoja na kufanyia ulimi mazoezi mara kwa mara kama jinsi ya kula, kunywa,ulimi kukaa juu ya fizi na nk.. na kama alivyosema mdau hapo juu, mtu mwenye hilo tatizo kuchukua tahadhali unapotamka neno "S".
Kwa watoto hii therapy inaweza kuchukua miezi 2 au zaidi lakini kweli tatizo linaisha. ..

NB: Kwa Tanzania sijui kama wanatoa huduma hii.
Wewe mwenyewe una kihembe ..kwenye U unaandika HU
 
dawa kubwa ya kithembe ni mwenye nacho kuwa makini anapotamka maneno yenye s na z, ajitahidi kujirekebisha baada ya muda kitapungua na baadae kitakoweka, ushahidi ninao. me nakipenda I wish ningezaliwa nacho kisingenisumbua, kama ninvyopenda dimples
Kithembe pia husababishwa na mpangilio wa meno mfano ni wale wenye mwanya mkubwa
 
Wapo ambao ishu yao siyo kubana ulimi kwenye meno,wao MENO HAYAKO KATIKA MPANGILIO MAALUM,HASA MENO YABELE NA KABLA YA MBELE.
Kundi hili limeathirika na yale meno ya utoto(milk teeth)ambayo hayakutolewa au kubana kwa fizi na kusababisha mpandano wa meno na mara nyingi yale yanayokosa nafasi huingia ndani.
Kwahiyo wanapotamka,ulimi hutangulia kufika kwenye hayo meno,lakini wakiyatoa na shida inaisha
 
Back
Top Bottom