GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nimevutiwa sana tu na Kiti cha Kifalme alichokalia jana Mjane na hasa ile Nguo aliyoivaa pia Mjane. Vyote ni bei gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuzoea hivi mpwa, utaratibu wa kapicha usibezwe!Nimevutiwa sana tu na Kiti cha Kifalme alichokalia jana Mjane na hasa ile Nguo aliyoivaa pia Mjane. Vyote ni bei gani?
Nenda Instagram Page ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam albert_john_chalamila utaona kila Kitu Mkuu.Picha...
@albert_john_chalamila Instagram Page Mpwa.Sijakuzoea hivi mpwa, utaratibu wa kapicha usibezwe!
Inategemea na status ya marehemu. Hapo hawaendi sababu ya shida, wanasherekeaDuh! Misiba ya kidigitali hii, wafiwa wanapiga pamba za kufa mtu, misosi ndiyo balaa kubwa. Wanasema ni sherehe ya mwisho kumsherehekea marehemu kwa kufa. Habari za maombolezo na mavazi yake siku hizi hakuna, mwendo ni show off tu
Lazima ajidai mission ya kuiba Mali zetu kihalali na kisheria imekamilika sasa!!Nimevutiwa sana tu na Kiti cha Kifalme alichokalia jana Mjane na hasa ile Nguo aliyoivaa pia Mjane. Vyote ni bei gani?