Kitila Mkumbo Ubungo wanakudhalilisha, Waliokutoa Singida walikudanganya

Kitila Mkumbo Ubungo wanakudhalilisha, Waliokutoa Singida walikudanganya

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Nimeona mkutano wa Kitila Mkumbo Ubungo Maji, kwa idadi ya watu alionao na kwa nanmna viongozi wa ccm wa mashina wanavyotumia nguvu kumnadi na kuamasisha wanachama wahudhurie mikutano yake sidhani Kama atapata hata kura elfu mbili, ukiona unakosa mvuto kwa wananchi Wanaokuzunguka hata Salam awakupi jua wewe siyo chgauo lao ila Kuna mtu alikua amejipanga akaenguliwa.

Nikiunganisha na kauli ya Jana ya Mhe Rais kwamba aliwapangia yeye na Mwigulu Nani agombee wapi Basi unajua kuwa Kama siyo Mwenyekiti wa chama Basi hata kura mbili ndani ya CCM asingepata.

Lakini pia uwezo wake wakuzichambua na kuzielewa kero za wananchi Ni mdogo sana, he is too accademician not politician.

Na hapa unapata sababu kwanini wapinzani lazima waenguliwe, Ni kwa sababu uteuzi umefanya na Mwenyekiti bila kuangalia wananchi wanataka nini.
 
Kitila ni Mbunge Tarajali Ubungo 2020/2025
 
Nipo ubungo kibangu nakwambia tutamfarahisha mjinga huyu.
 
Kitila atashinda kwa kishindo

Dar hakuna Mbunge hata mmoja wa vyama vilivyotumwa na Wazungu kuja kugombea Tanzania watoboe

Hakuna hata meya moja atatokea upinzani
 
Anaongea kama anawasilisha pepa ya utafiti kwa watu wenye njaa zao na matatizo kibao na wana muda kidogo wa kusikiliza longolongo
 
Back
Top Bottom