Uchaguzi 2020 kitila Mkumbokumbo aendelea na kampeni za kuwania Ubunge katika Jimbo la Ubungo

Uchaguzi 2020 kitila Mkumbokumbo aendelea na kampeni za kuwania Ubunge katika Jimbo la Ubungo

zagamba deo

Member
Joined
Oct 27, 2014
Posts
52
Reaction score
28
Ndugu Wana jukwaa wenzangu nawasalimu.

MAKULUMLA ndio hilikiwa ngome ya chadema kwa Jimbo la Ubungo lakini Toka kitila apate ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama Cha mapinduzi, wakazi hao wamekuwa na kiu kubwa ya kutaka kuonana na kitila na kumueleza hisia zao za moyoni.

Baada ya kitila kufika kwa wakazi wa eneo hilo Kwa hali ya kustahajabu wakazi wa pale walimkata Boniface kwa hoja ya kuto timiza ahadi zake alizowaahidi wakazi wa eneo hilo wakati akiwa meya wa Ubungo, lakini wakazi hao pia walisema kwa uweledi, huruma, uwajibikaji na ukaribu kwa wakazi hao wameamua kumuunga mkono kitila Mkumbo na kuachana na yule meya aliyeshindwa kutatua kero za kina mama, vijana na walemavu kuwasaidia mikopo ya bila riba pale manispaa.

Pia wakazi hao wamejipa kazi ya kuamasishana wenyewe kwa wenye kumtafutia kura ndugu kitila na raisi wake pamoja na diwani wa ccm wa kata yao.

Mwisho
MAKULUMLA kwa Sasa Ni mpya au unaweza sema MAKULUMLA ya Sasa Ni ya kitila Mkumbo na sio mwingine.

IMG-20201011-WA0102.jpg
 
Wrong target kwa ubungo asahau ,uprofesa aupeleke chuo wanaubungo tunataka kijana wa mtaani tuliyemwona akikua siyo magarasa ya kuletwa na teuzi za magu
 
Ndugu Wana jukwaa wenzangu nawasalimu.

MAKULUMLA ndio hilikiwa ngome ya chadema kwa Jimbo la Ubungo lakini Toka kitila apate ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama Cha mapinduzi, wakazi hao wamekuwa na kiu kubwa ya kutaka kuonana na kitila na kumueleza hisia zao za moyoni.

Baada ya kitila kufika kwa wakazi wa eneo hilo Kwa hali ya kustahajabu wakazi wa pale walimkata Boniface kwa hoja ya kuto timiza ahadi zake alizowaahidi wakazi wa eneo hilo wakati akiwa meya wa Ubungo, lakini wakazi hao pia walisema kwa uweledi, huruma, uwajibikaji na ukaribu kwa wakazi hao wameamua kumuunga mkono kitila Mkumbo na kuachana na yule meya aliyeshindwa kutatua kero za kina mama, vijana na walemavu kuwasaidia mikopo ya bila riba pale manispaa.

Pia wakazi hao wamejipa kazi ya kuamasishana wenyewe kwa wenye kumtafutia kura ndugu kitila na raisi wake pamoja na diwani wa ccm wa kata yao.

Mwisho
MAKULUMLA kwa Sasa Ni mpya au unaweza sema MAKULUMLA ya Sasa Ni ya kitila Mkumbo na sio mwingine.

View attachment 1597794m
Mbona naona makada watupu? Wananchi wako wapi?
 
Mkumbomkumbo ndiyo nani huyo?? 🤔

Everyday is Saturday................................😎
 
..Prof.Kitila amelifanyia nini jimbo la Ubungo alipokuwa Katibu Mkuu wizara ya maji?

..kama hakuna alichofanya hapo Ubungo basi hakuna haja ya kumpa kura.
Kabisa! Alikuwa kwenye position ya kuhakikisha kuna mradi wa maji Ubungo, kweli shida na adha ya wakazi hao iwe historia, kashindwa, leo akiwa anagonga meza hungrier ataweza??

Everyday is Saturday................................😎

 
Ndugu Wana jukwaa wenzangu nawasalimu.

MAKULUMLA ndio hilikiwa ngome ya chadema kwa Jimbo la Ubungo lakini Toka kitila apate ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama Cha mapinduzi, wakazi hao wamekuwa na kiu kubwa ya kutaka kuonana na kitila na kumueleza hisia zao za moyoni.

Baada ya kitila kufika kwa wakazi wa eneo hilo Kwa hali ya kustahajabu wakazi wa pale walimkata Boniface kwa hoja ya kuto timiza ahadi zake alizowaahidi wakazi wa eneo hilo wakati akiwa meya wa Ubungo, lakini wakazi hao pia walisema kwa uweledi, huruma, uwajibikaji na ukaribu kwa wakazi hao wameamua kumuunga mkono kitila Mkumbo na kuachana na yule meya aliyeshindwa kutatua kero za kina mama, vijana na walemavu kuwasaidia mikopo ya bila riba pale manispaa.

Pia wakazi hao wamejipa kazi ya kuamasishana wenyewe kwa wenye kumtafutia kura ndugu kitila na raisi wake pamoja na diwani wa ccm wa kata yao.

Mwisho
MAKULUMLA kwa Sasa Ni mpya au unaweza sema MAKULUMLA ya Sasa Ni ya kitila Mkumbo na sio mwingine.

View attachment 1597794
Yano profesa mzima anaenda kwenye siasa daaah!
 
Ndugu Wana jukwaa wenzangu nawasalimu.

MAKULUMLA ndio hilikiwa ngome ya chadema kwa Jimbo la Ubungo lakini Toka kitila apate ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama Cha mapinduzi, wakazi hao wamekuwa na kiu kubwa ya kutaka kuonana na kitila na kumueleza hisia zao za moyoni.

Baada ya kitila kufika kwa wakazi wa eneo hilo Kwa hali ya kustahajabu wakazi wa pale walimkata Boniface kwa hoja ya kuto timiza ahadi zake alizowaahidi wakazi wa eneo hilo wakati akiwa meya wa Ubungo, lakini wakazi hao pia walisema kwa uweledi, huruma, uwajibikaji na ukaribu kwa wakazi hao wameamua kumuunga mkono kitila Mkumbo na kuachana na yule meya aliyeshindwa kutatua kero za kina mama, vijana na walemavu kuwasaidia mikopo ya bila riba pale manispaa.

Pia wakazi hao wamejipa kazi ya kuamasishana wenyewe kwa wenye kumtafutia kura ndugu kitila na raisi wake pamoja na diwani wa ccm wa kata yao.

Mwisho
MAKULUMLA kwa Sasa Ni mpya au unaweza sema MAKULUMLA ya Sasa Ni ya kitila Mkumbo na sio mwingine.

View attachment 1597794
Unakula hela ya mkumbo bure tu humsaidii lolote.
 
Ndugu Wana jukwaa wenzangu nawasalimu.

MAKULUMLA ndio hilikiwa ngome ya chadema kwa Jimbo la Ubungo lakini Toka kitila apate ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama Cha mapinduzi, wakazi hao wamekuwa na kiu kubwa ya kutaka kuonana na kitila na kumueleza hisia zao za moyoni.

Baada ya kitila kufika kwa wakazi wa eneo hilo Kwa hali ya kustahajabu wakazi wa pale walimkata Boniface kwa hoja ya kuto timiza ahadi zake alizowaahidi wakazi wa eneo hilo wakati akiwa meya wa Ubungo, lakini wakazi hao pia walisema kwa uweledi, huruma, uwajibikaji na ukaribu kwa wakazi hao wameamua kumuunga mkono kitila Mkumbo na kuachana na yule meya aliyeshindwa kutatua kero za kina mama, vijana na walemavu kuwasaidia mikopo ya bila riba pale manispaa.

Pia wakazi hao wamejipa kazi ya kuamasishana wenyewe kwa wenye kumtafutia kura ndugu kitila na raisi wake pamoja na diwani wa ccm wa kata yao.

Mwisho
MAKULUMLA kwa Sasa Ni mpya au unaweza sema MAKULUMLA ya Sasa Ni ya kitila Mkumbo na sio mwingine.

View attachment 1597794
Prof Mkumbo anazurura na makada toka sehemu mbali mbali.Halafu makada wamechoka kweli kweli.
 
Back
Top Bottom