Myebusi Mweusi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2022
- 671
- 1,543
Unajua Wasabato na wale jamaa wa ile dini nyingine ni waroho sana, na wanakula kwa kujificha, hivyo basi kabla kitu haijaiva vizuri wanataka iwe imeisha.View attachment 2935793
Mbona.washauri wengi sana?!
Wamesha kuandikia kwamba haikuiva vizuriAkutwa na minyoo kwenye ubongo uliosababishwa na kula nguruwe
Apikwe, achomwe, akaangwe.....hana baya kitimito Kuna ya kitu kingine mbichi ni tamu balaawww.jamiiforums.com