Kitimoto is overrated haina utofauti wala utamu kuliko nyama zingine..

Kitimoto is overrated haina utofauti wala utamu kuliko nyama zingine..

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya inayosema...
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11:7


Hivyo nikawa sigusi kitimoto hata nyumbani hakijawahi kupikwa (Mama alikua Muislim kabla, hatak ata kuiona japo mkatoriki)
Basi kwenye Pasaka hii ya Juzi juzi apa jirani yetu mchaga Noah yake aliipiga Breakdown akawa anauuza Kilo kwa buku Saba za lumumba tu. Tukachukua na sisi washkaji kilo 2 hivi. Nami nikasema ngoja nionje huyu mdudu ambao JF wanamsifia eti ni mtamu hasa ukishushia na Nyagi. Basi bwana ikaandaliwa vizuri sana hadi inaiitata nami nikasogea, nilijua nitakuta radha special kwenye pork (kulikua na supu, miskaki, iliyolostiwa, na ya pilau) asee mboga ya hovyo sana sijawah ona nilikula kidogo tu ikanishinda maana nilitema mate sana hafu nasikia imekaa rohoni. Ilibidi nile limao nzima ndo nikapata ahueni...

Nyama ya kuku itabaki kua nyama bora wakati wote kwangu hadi naacha hii dunia..

Da'Vinci: Young, Wild, Broke and Brainy.
 
Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya inayosema...
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11:7


Hivyo nikawa sigusi kitimoto hata nyumbani hakijawahi kupikwa (Mama alikua Muislim kabla, hatak ata kuiona japo mkatoriki)
Basi kwenye Pasaka hii ya Juzi juzi apa jirani yetu mchaga Noah yake aliipiga Breakdown akawa anauuza Kilo kwa buku Saba za lumumba tu. Tukachukua na sisi washkaji kilo 2 hivi. Nami nikasema ngoja nionje huyu mdudu ambao JF wanamsifia eti ni mtamu hasa ukishushia na Nyagi. Basi bwana ikaandaliwa vizuri sana hadi inaiitata nami nikasogea, nilijua nitakuta radha special kwenye pork (kulikua na supu, miskaki, iliyolostiwa, na ya pilau) asee mboga ya hovyo sana sijawah ona nilikula kidogo tu ikanishinda maana nilitema mate sana hafu nasikia imekaa rohoni. Ilibidi nile limao nzima ndo nikapata ahueni...

Nyama ya kuku itabaki kua nyama bora wakati wote kwangu hadi naacha hii dunia..

Da'Vinci: Young, Wild, Broke and Brainy.
Yaani udenda unanitoka. Usiwe unaleta maada za kipuuzi hapa. Ushaniharibia bajeti. Maana ulipomaliza kuweka nukta nimeinuka kwenda kuifata. usilinganishe kitimoto na uchafu wowote tafadhali
 
Yaani udenda unanitoka. Usiwe unaleta maada za kipuuzi hapa. Ushaniharibia bajeti. Maana ulipomaliza kuweka nukta nimeinuka kwenda kuifata. usilinganishe kitimoto na uchafu wowote tafadhali
Hivi mwaipendea nini au yale mafuta? Mm naona kuku is the best nyama ever 😀😀😀
 
Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya inayosema...
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

Mambo ya Walawi 11:7


Hivyo nikawa sigusi kitimoto hata nyumbani hakijawahi kupikwa (Mama alikua Muislim kabla, hatak ata kuiona japo mkatoriki)
Basi kwenye Pasaka hii ya Juzi juzi apa jirani yetu mchaga Noah yake aliipiga Breakdown akawa anauuza Kilo kwa buku Saba za lumumba tu. Tukachukua na sisi washkaji kilo 2 hivi. Nami nikasema ngoja nionje huyu mdudu ambao JF wanamsifia eti ni mtamu hasa ukishushia na Nyagi. Basi bwana ikaandaliwa vizuri sana hadi inaiitata nami nikasogea, nilijua nitakuta radha special kwenye pork (kulikua na supu, miskaki, iliyolostiwa, na ya pilau) asee mboga ya hovyo sana sijawah ona nilikula kidogo tu ikanishinda maana nilitema mate sana hafu nasikia imekaa rohoni. Ilibidi nile limao nzima ndo nikapata ahueni...

Nyama ya kuku itabaki kua nyama bora wakati wote kwangu hadi naacha hii dunia..

Da'Vinci: Young, Wild, Broke and Brainy.
Kama hutajali nikupeleke mahali leo, kesho utakuja fungua thread nyingine ya kusifia
 
Back
Top Bottom