Hivyo ilivyo na utamu wake ndo uspesho wenyewe[emoji1]Kwan ina uspesho gani?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]We kitimoto huijui, mmeuziwa mifuta mingi la hasha hujui kuipika. Ile inapikwa na mafuta yake babu kisha inarostiwa kiufundi unaweza shangaa watu kadhaa mkafuta kilo ya ugali
Fundiii, aisee nataka nichukue uber niwasili ulipo. Chukua kilo na nusu, nakuja kulipa anza kufanya mambo mkuu.Siku ukija kwangu ntakupikia kitimoto ya maana utakuja hadithia humu. Raha ya kitimoto ipikwe,ikaangwe kwa mafuta yake,irostiwe na mtaalamu sio ile imejazana mimafuta tele,nyama laini lain. Inatakiwa iwe ngumu kavuuu
Anafananisha mdudu na vitu vya masihara huyu![emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Yale mafuta ni layer tu ya juu. Kuna nyama yenyewe... ile misuli yenyewe. Kaanga na vitunguu alaf unipe mrejeshoHivi mwaipendea nini au yale mafuta? Mm naona kuku is the best nyama ever πππ
Da vinci, natoa ofa. Nakupeleka mianzini kwa mahali wanakaanga hiyo kitu kwa kiwango cha kimataifa. Nakwambia haya mawazo utabadili mzeyaNyama ya kishamba mnoo hii
Mi kuku hata upike vipi, huwa nakula firigisi t[. Vingine sigusiHivi mwaipendea nini au yale mafuta? Mm naona kuku is the best nyama ever πππ
Kama yupo dar mwambie karib mandao aone makange ya mdudu,kama ataacha kuja kuleta mrejisho hapaDa vinci, natoa ofa. Nakupeleka mianzini kwa mahali wanakaanga hiyo kitu kwa kiwango cha kimataifa. Nakwambia haya mawazo utabadili mzeya
Aiseeeee[emoji39]Kama yupo dar mwambie karib mandao aone makange ya mdudu,kama ataacha kuja kuleta mrejisho hapaView attachment 744184View attachment 744185
Dada angu mm hata sijahukumu mtu na imani yangu hainiruhusu kabisa..Kama kutakuwa na hukumu kwa waliokula nguruwe
1. Wazungu mambo bacon na sausages bila kusahau Sunday roast.
2. Wabrazil mambo ya roast pork na green plantains
3. Wachina hapo usipime.
4. Wachagga, hawa wakwe zangu kiti moto ni sehemu ya maisha ya kila siku
Matthew 7:2
For the same way you judge others, you will be judged and for the measure you use it will be measured to you.
ZinavutiaKama yupo dar mwambie karib mandao aone makange ya mdudu,kama ataacha kuja kuleta mrejisho hapaView attachment 744184View attachment 744185
Njoo mandao njia panda ya segera uagize halaf bei ya kawaida kwa dizain utakayo,,we ikikosewa kupikwa hyo hutakaa uisifieZinavutia