Kila kitu kina mvuto wake,Kile kingozi kinaambatana na kile kifuta,na ndio tofauti yake na nyama zingine.nyinyi ni warafi na waroho!
Kila kitu kina mvuto wake,Kile kingozi kinaambatana na kile kifuta,na ndio tofauti yake na nyama zingine.
Kinafaa kwa Daku, mafuta yake hajayagandiMwezi mtukufu huu
Kama mchuzi wa jogoo.Hovyooo
Narafikiyangu sheik anapenda kitimoto sana nusu rost nusu kavu kabla ya kuanza kusaga gomba na bia mbili za safari baridiiiiiiiKinafaa kwa Daku, mafuta yake hajayagandi
Tuma location mzee, jua tayari lishazama π€Kitimoto Rosti Dietπ¦ππ½ββοΈπΉπΏ
Nipo viwanja sisi hatunaga weekend ππππ₯
Anastasia21
View attachment 3265807
Hii noumaaaNi mwendo wa kubaluza tuuππππ baada ya hapo Sasa zinashuka biaaa za baridiiiiiiiiiπππππππππ₯π₯
View attachment 3265808
Hii picha umedownload wapi??Kitimoto Rosti Dietπ¦ππ½ββοΈπΉπΏ
Nipo viwanja sisi hatunaga weekend ππππ₯
Anastasia21
View attachment 3265807
Kwa muuza pookHii picha umedownload wapi??
Kuna wengine hatutolew ovyoNikiambiwa hapa nitoe kitu kimoja mkuu nakutoa wewe!
Sasa kama mda wa kufturu nisile mkuu aaah. Wacha zako wwππTuwaheshimu na ndugu zetu waliofunga Ramadan basi. Hata wakristo wako kwenye kwaresma pia. We should not show our attachment to the foods at least in public
Ati nnπππNa saizi imeshuka bei sana kwasababu ipo available walaji inasemekana wanafunga
Manyuziiiiii ππππ acha basi ππ chibaba wa hasara ww kila siku mboga iyo si ntakuza nguruwe tumboniπ